Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣 Acha kujianika sana, nilikuchokoza kidogo tu, umepata mooto.!! Haya pole
Si kujianika. I’m just telling you how you have poverty mentality. Alafu this year make sure umenunua kitanda, sawa?

Unapiga kelele hapa na unalala kwa floor😂😂😂

IMG_0270.jpeg
 
TANZANIA, MAREKANI WAJADILI MADINI MKAKATI

Dkt. Kiruswa awavutia kuwekeza Sekta ya Madini

Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri wa Nishati wa Nchini Marekani Mhe. David Turk katika kikao maalumu cha kujadili fursa zilizopo katika Sekta ya Madini hususan Madini Mkakati ambayo yanahitajika sana kwa sasa Duniani huku Tanzania ikiwa imejaliwa aina mbalimbali za madini hayo.

View attachment 3015696

View attachment 3015697
Wamefuatilia mipango yetu na Korea na wao wameamua kupiga hodi Tz hatucheki na kima sisi na misaada ya kipumbavu ya kupewa scrapers hatutaki sisi wala majina ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kama major non NATO member 🤣🤣🤣🤣
 
Sikia hii jogoo 😅😅😅😅😅 hvi ww unajua maisha ya waarabu yalivo expensive??

Ogopa mzee kwenye dunia hii hakuna binaadamu ana maisha ghali kama mwarabu
Lakini wewe maisha yako sio expensive 😂😂😂

Wa Yemen hawakuangi na maisha expensive 😂😂😂
 
Nauli zipo hivi:
1. Normal Class ni Tsh 31,000 treni inasimama kila kituo.

2. Business Class zile zenye ghorofa Zinatoka Dar zinasimama Morogoro kisha zinasimama Dododoma Tsh 70,000


3. EMU zipo na Class mbili (Business and Royal) Business Tsh 100,000, Royal Tsh 120,000. Zinatoka Dar zinasimama Morogoro na Zinasimama Dodoma. Zinachukua Only 3hrs.

Tanzania is real a middle Income Country Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.

Endelea kukaza tundu, tutaelewana
 
Yenye mwenyewe kasema ni village, tena very remote lakini naona wapo advanced zaidi ya naislum na Moyale CBD
View attachment 3015602
Jamaa a.k.a KiberaWalker anashangaza sana, yani anajaribu kuongopa kwa kuongea maneno tofauti na aliyosema mzungu, kinachomuuma ni kwnn mzungu kasifia bongo, c unajua haya masenge kwa kushobokea wazungu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo NairobiWalker ni muongo na mbishi sana. Hizo picha anazodai ni kigoma mjini sio kigoma mjini bali ni kijiji fulani wilaya ya Manyovu km 50 kutoka kigoma town.

View: https://youtu.be/sIpzkACnoAw?si=B7OAx5i6YySYQDFv

Mzungu baada ya kufika kigoma aliona haya. Mpaka anasema ndo mara ya kwanza in a while kuona proper city, anashangaa Traffic lights ( Nairobi tu traffic light za kuhesabu) , street roads ziko paved, hotel in AC nk.
Nimescreenshot hapa kuleta ushahidi.

Hapa anasema ndo amefika in a true African cityView attachment 3015572

Hapa kasema kuona traffic lights in a while
View attachment 3015566



Hapa anashangaa kukuta AC kigoma
View attachment 3015565




Hapa anashangaa hata street roads ziko paved
View attachment 3015568

Hapa anapata best view kabisa ya lake Tanganyika
View attachment 3015571


Hapa ushamaliza mkuu
 
Enyewe kukosa akili ni kukosa akili tu, amepost kuonyesha jinsi Marsabit ilivyo na maendeleo kuliko kigoma licha ya Kigoma kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko Marsabit. Wewe umekuja na hasira kutetea Kigoma alafu unaleta population iliyo juu zaidi ya ile aliyotaja mwanzoni.
Weka picha za moyale uwaokoe wenzio, wameshindwa kuweka tangu jana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom