Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na wale watu maskini kama Sama boy 255 mtawafanyaje? Ama mtamchangiq fare ya kukuja na kurudi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wewe unamuweza Sama boy ???
Sura yako nikiangalia Tu naona kabisa baadhi ya taa kwenye dashboard zinawaka๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
1708410304070.png
 
Wewe unamuweza Sama boy ???
Sura yako nikiangalia Tu naona kabisa baadhi ya taa kwenye dashboard zinawaka๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
View attachment 3015702
Huyo haniwezi. Kwanza aache kulishwa na bibi na atafute pesa yake, haezikuwa na kichwa kubwa, pua kubwa na maskio makubwa lakini bado analishwa na msichana.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Again I think nilikuambia mambo yetu na Sama boy 255 uachane nayo kabisa. Mimi na yeye tunaishi in our respective countries while wewe ni mkimbizi wa Yemen, umekimbia umaskini wa Yemen ukajiangusha kwa ufukara wa Tanzania ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Do you even know where your ancestors were buried?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimemfumania The Sunk Cost Fallacy 2 akilalamika Kenya inajulikana Sana kuliko uswazi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

 
Na wale watu maskini kama Sama boy 255 mtawafanyaje? Ama mtamchangia fare ya kukuja na kurudi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Wewe ulikula smocha May ukatunza picha hadi wa leo hili uringie watu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Tafuta pesa kijana. Are you aware you are the poorest in this forum?

Huyo haniwezi. Kwanza aache kulishwa na bibi na atafute pesa yake, haezikuwa na kichwa kubwa, pia kubwa na maskio๐Ÿ˜‚ makubwa lakini bado analishwa na msichana.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Again I think nilikuambia mambo yetu na Sama boy 255 uachane nayo kabisa. Mimi na yeye tunaishi in our respective countries while wewe ni mkimbizi wa Yemen, umekimbia umaskini wa Yemen ukajiangusha kwa ufukara wa Tanzania ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Do you even know where your ancestors were buried?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Unani mention three times mzee nakunyima amani..? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ unaweweseka tu. Kama nakuumiza chomoa.
 
Nimemfumania The Sunk Cost Fallacy 2 akilalamika Kenya inajulikana Sana kuliko uswazi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Acha shobo,hivi Kundustan nzima hamnaga hata forum yenu ya manaa?
 
Nimemfumania The Sunk Cost Fallacy 2 akilalamika Kenya inajulikana Sana kuliko uswazi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Anajifanya kichwa ngumu humu kumbe anaujua ukweli.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimemfumania The Sunk Cost Fallacy 2 akilalamika Kenya inajulikana Sana kuliko uswazi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Alafu hapa atakuambia vile Kenya haijulikani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nakunyima amani so poa. Juzi nilichukua huu mguu ili nikutingishie. ๐Ÿ‘‡View attachment 3015765๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ umeacha kuvaa zile viatu zako za mtumba.? Za 5 bob .?
Unanunua kiatu fake na bado unalala kwa floor? Wewe ni ng'ombe wa wapi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Nunua kitanda kijana uache kuweka mattress kwa floor. Na hiyo floor Yako pia inafanana tu na zile pit latrine that we had in our village Primary School๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Unanunua kiatu fake na bado unalala kwa floor? Wewe ni ng'ombe wa wapi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Nunua kitanda kijana uache kuweka mattress kwa floor. Na hiyo floor Yako pia inafanana tu na zile pit latrine that we had in our village Primary School๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ni furaha yangu nikiona unavyoweweseka.
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ni furaha yangu nikiona unavyoweweseka.
There is a reason why you will forever remain poor because You have a poverty mind.


While you spend 500 bob that you borrowed on a fake shoes, me I spend 113,000 in May alone in an investment channel to generate a monthly interest.
Screenshot_20240612-200101_1.jpg

I also spend another 80,000 to increase my shares on Tower Sacco and another chunk I I bought shares in another company.

Next week I'll be getting dividend
1718212869402.png


On 28th I'll be attending a GM meeting discuss on interest and dividend payment.

Screenshot_20240612-200806_1.jpg
 
Back
Top Bottom