Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Source ni national statistician show 🤣🤣🤣 probably show ya vichaa
Pole kwa makasiriko.

IMG_0238.png
IMG_0239.png
 
Kama hujui kwamba Tanzania had a bigger economy miaka za nyuma kuliko Kenya, inamaanisha tuanajadiliana na watu wasiojua hata historia ya nchi yao. Sad!!
I know ni kipindi cha Sera mpya za Ujamaa na kujitegemea ndio viwanda vingi vilianzishwa, ila nilimuuliza hilo swali sababu alitaja 1961 in Independence. Ambao ni uongo.
 
Uko sawa, Boeing walikuwa wamewapa tenda kampuni moja ku supply heat exchanger, Ni alloy fulani inayotengenezwa Russia. Sasa baada ya sanction ile kampuni ikashindwa ku supply tena na stock ya Boeing ilivyoisha ndiyo haya matatizo unayoyaona. 737 MAX na Dreamliner zimekubwa na tatizo hilo.

cc Rhaenyra Targaryen
Akili kubwa
 

Kuna pesa nyingi hapa, watu wa Tourism promotion wako wapi?

Alafu Sometimes wakuu why tusiwe tunategea bajeti ya utalii kufufua eneo moja baada ya jingine, ukiandika Visit Tanzania, watu wanajua Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar imeisha hiyo.

Inakua too General, ili vivutio vyote viingie inahitaji too much budget, mfano hapo lake Tanganyika lilipaswa kuwa na Guide book ya kisasa hata logo ya Visit lake Tanganyika,

Visit Tanzania iboreshwe zaidi, si walifanya Visit Zanzibar.



MAFIAAA ISLAND damn pesa zipo za kutosha kuliko ZNZ serikali ikamua.
 
Kuna pesa nyingi hapa, watu wa Tourism promotion wako wapi?

Alafu Sometimes wakuu why tusiwe tunategea bajeti ya utalii kufufua eneo moja baada ya jingine, ukiandika Visit Tanzania, watu wanajua Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar imeisha hiyo.

Inakua too General, ili vivutio vyote viingie inahitaji too much budget, mfano hapo lake Tanganyika lilipaswa kuwa na Guide book ya kisasa hata logo ya Visit lake Tanganyika,

Visit Tanzania iboreshwe zaidi, si walifanya Visit Zanzibar.



MAFIAAA ISLAND damn pesa zipo za kutosha kuliko ZNZ serikali ikamua.
Wamekariri Arusha, Zanzibar na Kilimanjaro 😆😆
 
Bongolalas wanakubalisha game hunting na bado tunawapiga ile kitu kwa tourism revenue.
Acha kujichekesha we fala na unakuta watalii wengine hapo mmewadanganya kuwa Kilimanjaro iko Kenya, Serengeti iko Kenya, Ngorogoro iko Kenya.
 

Heee! Uchawa kipaji juzi juzi tu DP WORLD walikua wanaforce sheria ya Rasmali za nchi ya 2017 ibadilishwe maana ilikua inawazuia kua na full control.

Najua 2017 unaijua, sheria hiyo ilikuja baada ya sakata la Madini kati ya Barrick na Serikali plus Tanzanite.

1000020645.jpg


Mama Wenu sometimes nyie wajinga ndio mnafanya azidi poteza mvuto.
 
Heee! Uchawa kipaji juzi juzi tu DP WORLD walikua wanaforce sheria ya Rasmali za nchi ya 2017 ibadilishwe maana ilikua inawazuia kua na full control.

Najua 2017 unaijua, sheria hiyo ilikuja baada ya sakata la Madini kati ya Barrick na Serikali plus Tanzanite.

View attachment 2997990

Mama Wenu sometimes nyie wajinga ndio mnafanya azidi poteza mvuto.
Mvuto peleka Kwa mkeo/Mumeo.

Sheria sio msahafu/Biblia.Tutafuta sheria zote zinazozuia biashara na unajua mama ni pro biashara,huyo aliyetunga sheria ya kipuuzi alisababisha wawekezaji kukimbia.

Mwisho sheria mama ya enzi za JK ndio inaongoza sekta ya Madini pamoja na maboresho yake yaliyofanyika na yatakayoendelea kufanyika.

Credits Kwa JK na Samia,kama una malalamiko peleka dawati la jinsia 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom