Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wabongo wote mliopo humu nawapongeza sana aisee najivunia kuwa mtanzania 🤣🤣🤣😂🤣nimecheka sana wazee wa fake it till you make it🤣🤣🤣🤣🤣wote hoi taaban 😂😂😂😂
 
Yaani katika karne hii ya Technologies unaongelea Design!!! 🤣 🤣 🤣 🤣 😁 😁 😁 Nadhani bado uko nyuma sana kwenye issue za technology. Watu kwa sasa wanaongelea AI wewe unakuja kutupigia kelele kuhusu design ya kajumba tena ka hovyo hivyo 😁😁😁😃😃😃
AI na nyumba wapi na wapi? Umejifunza neno AI leo halafu ukaona lazima ulitumie? 😂 😂 Wewe nimerudia, akili yako sii timamu. Hujielewi. You need to talk less and listen more.
 

This is necessary for countries with teacher shortage. Otherwise in terms of classroom technology you're nowhere near us.

1706516709270.jpeg
1706516733314.jpeg
 
Hiyo nyumba ya Mbagala sio ya mlala hoi hata wewe mwenyewe unajua. Wewe mwenyewe utakufa kabla ujenge nyumba kama hiyo. 😂
Nyumba ya million 27 tena kwa marketing price, ukijenga mwenyewe na kiwanja juu ni million 22, Tanzania maisha ni simple ndio maana huoni umasikini humu kama mlionao ninyi!
 
Of course, there is only one Kenyan on this thread with different names. Wakenya hatuna wakati na hii thread. 😂 😂 😂
Sasa wewe unafanya nn humu, si uondoke kwenye hii forum ya watanzania? Hatutaki wakenya humu tuliwavuta ili tuwaoneshe maendeleo yetu na jinsi tulivyowaacha kimaendeleo zen muondoke, now it's time to go and leave us.
 
Huyu kunguru anasumbua sana DRC ni muda sasa ashughukikiwe ipasavyo, anayeenda kupigwa ni M23 ni nini kinamfanya abweke ovyo!
Wanaume tushaingia akae kwa kutulia, linapokuja suala la peace EA Tanzania haitaki mzaha, atapigwa yeyote yule kwa maslahi ya Tz mana sisi ni kama USA hapa EA, tutampiga yeyote na kwa muda wowote ule tunaotaka, alete fyoko fyoko aone, yeye c anategemea wazungu, sasa ndio tushaingia atulize mshono, Tz sio kenya au uganda.
 
Nyumba ya million 27 tena kwa marketing price, ukijenga mwenyewe na kiwanja juu ni million 22, Tanzania maisha ni simple ndio maana huoni umasikini humu kama mlionao ninyi!
This house would cost a similar amount to build in Kenya so I don't know what you're talking about. (Kshs. 1M - 1.5M depending on location) It is still not a house for the poor in Tanzania. This is your typical Tanzanian middle class.
 
Back
Top Bottom