President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,095
- 93,513
Siasa za maziwa makuu.
Naona ameanza kutumia watu wa pr ila this time inatakiwa kunguru apigwe hadi kwake.
Kisha anyanganywe uanachama wa EAC.
View: https://x.com/marlonluzayamo_/status/1751724376221712480?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Huyu ndo sponsor wa M23 ndio maana kila wakitaka kuguswa anaanza vitisho.
View: https://youtu.be/vtxrGUF8cWk?si=PLKNRkviXsXrZVXl
Jeshi la kenya lilienda hakuongea chochote. Wazee wa kazi wameingia ameanza kuhaha.
Hakuna mtu anayekuja kuivamia Rwanda. Watu wameingia Congo kuwaondoa M23. Yeye anahaha nini? Mbona Burundi, Tanzania na Uganda Tutsi wapo?
Atulie hivyo hivyo wanaume wafanye kazi. Burundi tayari eshafunga mpaka. Silaha zitapitia burundi. Zitaenda Congo.