Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani zitakuwa zinafanya kazi tofauti? Mlikuwa mnakesha hapa mkiulizia bus stand za Kenya and there they are. Ama mlikuwa mnadhani haziko?🤣🤣😂
Ndugu wanasiasa wenu wanajua kula hizo hela za nchi kwakua wanajua hamjui kuuuliza nyie ni kulilia ugali tuu ndicho kilichopo akilini.
 
Umemsikia wapi Samia Suluhu akisema hivyo mr. kipchirchir?
Pinga upigwe ngumu🤣🤣😂🤣.

Samia Suluhu speech in 2021. Kwa watanzania wote Nairobi ni kama London kwao.
Screenshot_20240128-194309.png
 
President gani ambaye alifkiri hvo nitajie jina lake na ulete ushahidi kamili ili nifunge acc sasa hvi 😅😅😅😅😅😅

Unaleta zile propaganda zenu za chooni mlizokua munadanganywa na moi 🤣🤣🤣
Samia😂😂🤣🤣
Screenshot_20240128-194309.png
 
Hata sijui mbona tunapingana na wenye wafikiri Nairobi ni London. Hadi President wai anatamani kuja kuishi Nairobi 😂
 
Huoni hapo kasema miaka ya themanini? Sasa weka picha za stendi ya hapo naipori tuone hiyo London yako unayoiongelea😁😎
Sasa soma the second page first paragraph. "Today I can say without a pinch of doubt that Nairobi has not lost it's luster" meaning bado ni London kwa watanzania 😂😂🤣🤣

Screenshot_20240128-202253.png
 
Back
Top Bottom