ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,865
Sisi hatuna upumbavu kabisa π π π π hakuna culture yenu munaeza ikuta tanzania never everEverywhere Tz now Mnacopy Matatu Culture.
Sisi hatuna upumbavu kabisa π π π π hakuna culture yenu munaeza ikuta tanzania never everEverywhere Tz now Mnacopy Matatu Culture.
Jirani hana umeme, hajui kingereza, hajui kandanda, na anasombwa na mafuriko. ππππ
View: https://x.com/SamakiOnline/status/1748939415303372996?s=20
Hatukuenda AFCON coz we didn't play the qualifiers. If we did, hatungeshindwa kupata ushindi dhidi ya watu kumiHaya tuseme taifa stars kaingia AFCON makundi nyinyi mumeingia wapi jela au?π
Ingekua historia inatizamwa kila siku Brazil ingebaki kuwa taifa top katika ranking za fifa ila fifa kila mwaka hutoa ranking mpya.Nakwazika mtu anaongelea history πππ
Si mpira wao wa vilabu si team yao ya taifa zote hakuna inayoshiriki mashindano ya kimataifa.
Ukija Tz kwenye mpira wa vilabu ndio hivyo tena team zetu zinashika top 5 huko CAF alkadhalika team yetu ya taifa ipo Afcon huko inajitafuta.
Bado eti wanashindana nasi kimpira πππ hivi ni vichekesho walahi.
Muna sababu nyingi za kufungiwa.Of course mnashiriki. You didn't go there to compete, you went there to participate. About us not being in AFCON, hata qualifiers hatukucheza coz of the FIFA ban, just in case you didn't know. Nway, DRC itafanya Ile kitu in your next match. Brave for a thorough beating from the Lingala boys
We punguani kweli una uhakika chelsea hajashiriki mashindano yoyote?Chelsea is ranked the fourth best club at the EUFA Champions league despite not participating in any European competition this season. But since Tanzanians doesn't usually know anything about football, I don't expect you to be aware that you can participate in a tournament but still ranks lowest than other teams that didn't participate.
Continental troophy ipi?Timu zetu huwa inatomba all your teams whenever they meet. Simba and Yanga wanajua Gor Mahia vizuri sanaπππ.
Gor Mahia is the only East African team with a continental trophy.
Sports pesa ni mdhamini mdogo sana hata akitoka hakuna athari.KCB did that to your league long time ago. Sportpesa bado inaendelea to sponsor your league.
You are just idiot like other Tanzanians here. Which European competition is Chelsea playing this season?We punguani kweli una uhakika chelsea hajashiriki mashindano yoyote?
Fuatilia mashindano mawili au matatu alocheza Chelsea.
Fuatilia msimu ulopita kamaliza nafasi gani.
Hujui kuhusu mpira wewe.
Nani alikudanganya sport pesa ina sponser league yetu?? π π π π πSports pesa ni mdhamini mdogo sana hata akitoka hakuna athari.
Wadhamini wakubwa NBC,GSM NA AZAM MEDIA.
Kaka yale mabas yaliochorwa Magufuli yapo Kenya au Tanzania??Ohh na CCM ni nini?? Kumbe munaijua CCM na munaipenda π π π π π π
We kweli punguani.You are just idiot like other Tanzanians here. Which European competition is Chelsea playing this season?
Last season Chelsea finished 12th in the league.
Unatuletea taarifa za uongo ranking mpya hii hapa ntafutie chelsea hapo.You are just idiot like other Tanzanians here. Which European competition is Chelsea playing this season?
Last season Chelsea finished 12th in the league.
KenyaKaka yake mabas yaliochorwa Magufuli yapo Kenya au Tanzania??
No Tanzanian team ishaiwin any continental title.Continental troophy ipi?
CAF,CAFCC?
Au CAF super cup?
Maana hayo ndio continental troophies hapa Africa.
Sijui kama ya kenya au laah bro mbona unanisakama kama mie 254πππππNani alikudanganya sport pesa ina sponser league yetu?? π π π π π
Nani alikudanganya sport pesa inamilikiwa na kenya??π π π π
Kombe lenye hadhi ya tatu ambalo limeshafutwa katika mashindano???