Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnailaumu tu timu bure, serikali ifanye investment ya nguvu, ijenge academy za kutosha na za maana, itenge hata miaka kumi ya kutengeneza wachezaji wazuri na timu nzuri.
Ichukue watoto wadogo ianze kuwafundisha mpira kwenye hizo academy.
Sio kweli.

Swala ni tff na aina ya waalimu wanaowapa kandarasi. Hata ujenge academies 2 000 kama huna benchi la ufundi lililo bora ni kazi bure.
 
USA ipi kijana wangu? Maneno ya Biden ndiyo policy ya USA?

Nimekwambia. Jaribu kujifunza kwanza kabla ya kuonesha namna gani usivyojua mambo hapa.

View attachment 2879480
Notice except 3 ( Belize, Honduras and Guatemala), the rest are islands like Taiwan…. Am sure some especially in the Pacific realm fear China’s crave for expansion..…and those 3 I mentioned it’s just economic opportunism.. as they are all neighbors to each other..Taiwan is rich…and willing to flex economic muscles in exchange of recognition…
 
USA ipi kijana wangu? Maneno ya Biden ndiyo policy ya USA?

Nimekwambia. Jaribu kujifunza kwanza kabla ya kuonesha namna gani usivyojua mambo hapa.

View attachment 2879480
You should realize the US plays with double sword when it comes to Taiwan… the US foreign policy indicates one state 2 systems without formally recognizing Taiwan independence but sovereignty… but based on US defense policy in the Taiwan straight you might as well conclude they want a future independent Taiwan since they are willing to defend it militarily… Taiwan is vital as security barrier in defense of South Korea, Philippines and Japan… 3 nations that are crucial to US supremacy in the Pacific…
 
Hawawezi ongea leo. 😂 😂 😂

Image

View: https://youtu.be/gEmCdZIH7oc?si=GhV7OrCiienqIFMw
 
Mzee unazungumzia history 😂😂😂😂 subiri Afcon iishe uone kama mtaendelea kuwa ranked above us taifa lenye u didn't qualify the tournament
Unadhani mtapita Kenya kwa ranking ju mumecheza AFCON. 😂 😂 😂 😂 In fact naona mukishuka rankings after kuchapwa na DRC.
 
Unadhani mtapita Kenya kwa ranking ju mumecheza AFCON. 😂 😂 😂 😂 In fact naona mukishuka rankings after kuchapwa na DRC.
Imagine kiwango chako cha upumbavu 😂😂😂 sasa kwaakili yako wewe unaweza kuwa ranked mbele ya taifa lenye nishiriki mashindano makubwa while u don't.? 😂😂😂 Utakuwa umepimwa uwezo kupitia nini.? 😂😂 Au unadhani top rankings ni favor eeh.?
 
Ninyi ni Non football country hata ulie namna gani, hivi timu zenu za mpira zinashirika mashindano gani ya kimataifa?
Nakwazika mtu anaongelea history 😂😂😂
Si mpira wao wa vilabu si team yao ya taifa zote hakuna inayoshiriki mashindano ya kimataifa.

Ukija Tz kwenye mpira wa vilabu ndio hivyo tena team zetu zinashika top 5 huko CAF alkadhalika team yetu ya taifa ipo Afcon huko inajitafuta.

Bado eti wanashindana nasi kimpira 😂😂😂 hivi ni vichekesho walahi.
 
Back
Top Bottom