Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heshimu sana construction standards za Tanzania, angalia jinsi culvert lilivyo intact Kunyaland hata ushahidi kama kuliwahi kuwa na daraja usingepata
Mimi tangu nizaliwe sijawai kuona daraja limesombwa na maji Nairobi. Lakini Dar is a slum nimeona.
 
Nakwazika mtu anaongelea history 😂😂😂
Si mpira wao wa vilabu si team yao ya taifa zote hakuna inayoshiriki mashindano ya kimataifa.

Ukija Tz kwenye mpira wa vilabu ndio hivyo tena team zetu zinashika top 5 huko CAF alkadhalika team yetu ya taifa ipo Afcon huko inajitafuta.

Bado eti wanashindana nasi kimpira 😂😂😂 hivi ni vichekesho walahi.
Mimi nataka aje hapa aniambie ni mashindano gani ya kimataifa timu zao za mpira zinashiriki? 😂😂😂
Yeye si ni kidume wa kuparamia quote za watu, sasa aje anieleze.
 
Ninyi ni Non football country hata ulie namna gani, hivi timu zenu za mpira zinashirika mashindano gani ya kimataifa?
Hizo timu zenu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa mbona haikusaidia taifa stars kupata ushindi dhidi ya wazambia kumi?
 
Imagine kiwango chako cha upumbavu 😂😂😂 sasa kwaakili yako wewe unaweza kuwa ranked mbele ya taifa lenye nishiriki mashindano makubwa while u don't.? 😂😂😂 Utakuwa umepimwa uwezo kupitia nini.? 😂😂 Au unadhani top rankings ni favor eeh.?
Usiwe pumbavu, points are usually awarded or stripped according to number of games won, drew or lost in international matches. The tournament doesn't matter. Mkichapwa na DRC hata mutashuka zaidi. 😂 😂 😂
 
Nyie nae punguzeni wivu na roho mbaya bora ya taifa stars hata walioingia makundi ya AFCON nyinyi mumeingia mashindano gani? Tena kaeni kwa kutulia na mumshkuru sana azam tv amekuza sana mpira wenu machizi nyinyi 😅😅😅😅😅😅😅
Hakuna Cha wivu hapa. I am simply saying facts. Taja kitu chochote nilichotaja ambacho si ukweli.
 
Hizo timu zenu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa mbona haikusaidia taifa stars kupata ushindi dhidi ya wazambia kumi?
No matter teams zetu zifungwe au zishinde, mchongo ni kwamba tunashiriki mashindano ya kimataifa while u don't, kwahyo mkae kimya nyie vichaa EA community sasahiv tunatakiwa tujadili kuhusu mpira ni sisi na DRC Congo tu kwasababu ndio nchi pekee tunashiriki mashindano ya kimataifa
 
Usiwe pumbavu, points are usually awarded or stripped according to number of games won, drew or lost in international matches. The tournament doesn't matter. Mkichapwa na DRC hata mutashuka zaidi. 😂 😂 😂
Wewe jamaa ni kichaa.? 😂😂😂 Kwahyo Tz tulifika hapo AFCON bila kushinda mechi.? 😂😂😂😂 kwamba tulifika Afcon kimiujiza.? Vipi kuhusu our yesterday draw against Zambia? Hizo si vigezo.? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hizo timu zenu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa mbona haikusaidia taifa stars kupata ushindi dhidi ya wazambia kumi?
Ni mashindano gani ya kimataifa timu zenu za mpira zinashiriki?
Non football country.
Tanzania ipo AFCON
Tanzania ipo WAFCON
Tanzania ipo CAFCL (Two teams)
Timu ya mpira ya wanawake imefuzu hatua ya mwanzo ya Olympic.
Orodhesha kama mimi wala usiogope.
 
No matter teams zetu zifungwe au zishinde, mchongo ni kwamba tunashiriki mashindano ya kimataifa while u don't, kwahyo mkae kimya nyie vichaa EA community sasahiv tunatakiwa tujadili kuhusu mpira ni sisi na DRC Congo tu kwasababu ndio nchi pekee tunashiriki mashindano ya kimataifa
Of course mnashiriki. You didn't go there to compete, you went there to participate. About us not being in AFCON, hata qualifiers hatukucheza coz of the FIFA ban, just in case you didn't know. Nway, DRC itafanya Ile kitu in your next match. Brave for a thorough beating from the Lingala boys
 
Hapa ni Dar is a slum 😂 😂 😂 Jirani hana miundobinu, jirani hana barabara za lami. 😂😂😂 Jirani anateseka sana aiseeee.
Image
 
Wewe jamaa ni kichaa.? 😂😂😂 Kwahyo Tz tulifika hapo AFCON bila kushinda mechi.? 😂😂😂😂 kwamba tulifika Afcon kimiujiza.? Vipi kuhusu our yesterday draw against Zambia? Hizo si vigezo.? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa rankings bado mko chini yetu. 😂 😂 😂 Case closed.
 
Of course mnashiriki. You didn't go there to compete, you went there to participate. About us not being in AFCON, hata qualifiers hatukucheza coz of the FIFA ban, just in case you didn't know. Nway, DRC itafanya Ile kitu in your next match. Brave for a thorough beating from the Lingala boys
Waacheni maneno mengi sasa hamjashiriki kutokana na upuuzi wenu wenyewe, kwahyo kaeni kwa kutulia wanaume tupambane.
 
Mzee unazungumzia history 😂😂😂😂 subiri Afcon iishe uone kama mtaendelea kuwa ranked above us taifa lenye u didn't qualify the tournament
Do you even know how FIFA does its rankings bongolala? The fact that you you'll lose two matches and draw one in this tournament means your ranking will go even lower than it is currently. Don't even dream of overtaking us in FIFA rankings after AFCON. It will only happen in your dreams as you wet your bed

And yes I am talking about history because that's what defines everything
 
Back
Top Bottom