ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sasa hio inatuhusu sisi?? Shida zenu pambaneni nazo bora ya sisi tumefika makundi AFCON, sasa hvi tuna team mbili club bingwa africa simba na yanga zipo makundi na mwaka jana simba ilifika robo na yanga imefika fainal shirikisho africaHatukuenda AFCON coz we didn't play the qualifiers. If we did, hatungeshindwa kupata ushindi dhidi ya watu kumi
Nyinyi mulifika wapi kileleni manake uwezo wakupigana miti munao 😅😅😅😅😅