President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,110
- 93,532
Maskini weee. Hata kwenye Bonanza Mlandege waliifunza Simba
Maskini weee. Hata kwenye Bonanza Mlandege waliifunza Simba
KCB did that to your league long time ago. Sportpesa bado inaendelea to sponsor your league.
Still no continental trophy.
Nisubiri nini wakati ranking yenu itashuka hata zaidi kutokana na poor results AFCON?Ranks zinatolewaje mzee.? 😂😂😂 Subiri Afcon iishe tuje kuongea hapa.
Prove itKCB did that to your league long time ago. Sportpesa bado inaendelea to sponsor your league.
ndio zinzweza kuwa nyingi sasa anataka waandike watoto shule mbili kwa wakati? hatuna uhaba wa shule tzAu shule zimezidi idadi?
Kenya is a failed state. You console yourself by insulting people on social mediaStill no continental trophy.
msaada hawana ubavu kama clubGor Mahia bus can buy two buses for Simba and another two buses for Yanga.
View attachment 2879739View attachment 2879740View attachment 2879742
The only failed country known all over the world is the one that failed to win even a single game at the AFCON competition.Kenya is a failed state. You console yourself by insulting people on social media
Kwani za Simba na Yanga sio msaada?😂😂😂msaada hawana ubavu kama club
hapana tumetshatoka huko kama clubKwani za Simba na Yanga sio msaada?😂😂😂
Ebu tuonyeshe bus yenye Simba walinunua na Pesa yao😂😂hapana tumetshatoka huko kama club
Even the USA has never been a FIFA champion. But Kenya everything ni ovyoThe only failed country known all over the world is the one that failed to win even a single game at the AFCON competition.
Tanzania is a German of East Africa but kenya is just Poland of EAC. Hakuna cha maana chochote. Ni kupiga kelele tu.Ebu tuonyeshe bus yenye Simba walinunua na Pesa yao😂😂
basi wewe weka basi ya club ya tanzania yenye neno pembeni msaada nifunge acount sasa ivi hamna aibu kuna namna club na kampuni yenye kutaka kujitangaza wanaingia makubaliano na club iwe ya magari ama ndege ndipo huwa na mikataba yao ya kujitangaza na ukomo wake sasa nyie hamna hicho ni mmesaidiwa msaada huo boss.Ebu tuonyeshe bus yenye Simba walinunua na Pesa yao😂😂
Wewe huna akili. You can't be champion if you are good on that thing. USA has never been good at soccer.Even the USA has never been a FIFA champion. But Kenya everything ni ovyo
Basi ya Simba ni msaada.basi wewe weka basi ya club ya tanzania yenye neno pembeni msaada nifunge acount sasa ivi hamna aibu kuna namna club na kampuni yenye kutaka kujitangaza wanaingia makubaliano na club iwe ya magari ama ndege ndipo huwa na mikataba yao ya kujitangaza na ukomo wake sasa nyie hamna hicho ni mmesaidiwa msaada huo boss.
si msaada ule vipi na matumizi ya ndege kwa hizi club kwa safari za ndani ya nchi mikoa ya mbali ni msaada? ama kwenu mnaona mageni?Basi ya Simba ni msaada.
Nimeipenda design, lita kuwa zuri sana hakika. Nimependa hili eneo la exit/entry na sio kama ilivyo kwenye terminal III.
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1745196176075333679?s=20