Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii yenu ni worse.

Image
Huyo mama maji taka yamemuingia hadi papuchini. 😂 😂
 
Taifa stars inaomba mchango ?? Watu wanaiba pesa mpaka wengine watoto wao wanafanya birthday kwenye private jet hewani alaf tunaomba mchango ???

Kuna shida sehemu niamini mm🤣🤣🤣🤣
Hii ni mara ya pili sasa unasema watoto kufanya birthday kwenye private jet, ni nani hao, au unaweza kutupa hiyo video hapa?
 
Hicho ni cha Tanzania. Kenya hatuna huo upuzi. No wonder kusoma article inayoongelea Uganda mnashindwa mnadhani ni Kenya.
Huwa mnamatamshi mabovu sana ya kiingereza kwasababu ya lafudhi nzenu nzito. Tena ukimkuta Mkikuyu, kuna shida nyingine ya kutamka maneno yenye 'th', mfano 'think' atasema 'dhink'. Maneno yenye 'or', mfano 'work' au 'word', yanatamkwa kwa 'ae' sound, siyo 'a' sound kama Wakenya mnavyotamka.
 
Hii nchi nishasema siku zote ili tuweze kwenye lolote ni lazima tuitoe CCM madarakani!!

Eti mamilioni ya pesa yanachangwa kwa ajili ya kugharamia utalii wa Taifa stars walioenda kuponda Ivory coast!!! Badala hizo pesa zikatumike kujenga Academies walau mikoa miwili tu hapa nchini,wao wanatafuta sifa eti wanaisaidia stars

Huo upumbavu aliofanya Majaliwa pamoja na wale Mashoga kina Baba levo ni ujinga wa hali ya juu sana,yani ni kama vile Mtoto hujamlea halafu unamchangia pesa aende akasome kisa tu kafaulu

Akili za watu wa CCM ni matako sana
Na mm siku ya kwanza niliuliza pesa zinachangishwa za nn na zinakwenda wapi?
 
Si mko na ligi Bora kuwashinda?
To 4 in Africa 😂😂
Mbona hatuoni matunda yake?
Ama mmejaza foreigners tupuuu mkasahau kuEMPOWER wazawa!!!
Tuna league bora sana ya 5 africa lakini shida yetu team ya taifa haina muunganiko mzuri, mbona huizungumzii south africa iko top 4 kwenye league lakini ilifungwa na mali?
 
Eti mgunda nae ni kocha wakimataifa hii nchi inavichekesho sana 🤣🤣🤣🤣🤣 anapewa team akapambane na watu wenye kazi zao, angalia sub za kocha tu wa zambia utaona kabisa ni kocha mwenye mbinu anaejua kazi zake
 
Back
Top Bottom