Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuna team pale kaka, tutamaliza makocha tu
Based on your club performances especially Yanga and Simba, I expected a better performance at least against Zambia… am sure Yanga and Simba are superior to any clubs in Zambia…so now I believe your league in overrated…let’s see what you do against DRC… a nation with a civil war… no more excuses..🤣🤣
 
Which sport is Tanzania good at? Yani hata kufunga watu kumi ni balaa kwao🤣🤣😂😝😝
Forget Africa… Kenya has won world titles in 3 different Sports.. No other African nation can claim that… Name any sport Bongo has won in the continent, forget the world….am waiting..🤣🤣
 
Based on your club performances especially Yanga and Simba, I expected a better performance at least against Zambia… am sure Yanga and Simba are superior to any clubs in Zambia…so now I believe your league in overrated…let’s see what you do against DRC… a nation with a civil war… no more excuses..🤣🤣
Hakuna mchezaji alieitwa anaecheza ligi ya DRC
 
No, hzo club zinabebwa na foreigners. Overated kvp?
Based on your club performances especially Yanga and Simba, I expected a better performance at least against Zambia… am sure Yanga and Simba are superior to any clubs in Zambia…so now I believe your league in overrated…let’s see what you do against DRC… a nation with a civil war… no more excuses..🤣🤣
 
Mnailaumu tu timu bure, serikali ifanye investment ya nguvu, ijenge academy za kutosha na za maana, itenge hata miaka kumi ya kutengeneza wachezaji wazuri na timu nzuri.
Ichukue watoto wadogo ianze kuwafundisha mpira kwenye hizo academy.
Hii nchi nishasema siku zote ili tuweze kwenye lolote ni lazima tuitoe CCM madarakani!!

Eti mamilioni ya pesa yanachangwa kwa ajili ya kugharamia utalii wa Taifa stars walioenda kuponda Ivory coast!!! Badala hizo pesa zikatumike kujenga Academies walau mikoa miwili tu hapa nchini,wao wanatafuta sifa eti wanaisaidia stars

Huo upumbavu aliofanya Majaliwa pamoja na wale Mashoga kina Baba levo ni ujinga wa hali ya juu sana,yani ni kama vile Mtoto hujamlea halafu unamchangia pesa aende akasome kisa tu kafaulu

Akili za watu wa CCM ni matako sana
 
Nashauri ligi ya vijana ianzishwe na ionyeshwe live ili iwe rahisi kuwaona na kufuatilia wachezaji.

Kuna tatzo la watu kupelekana kiundugu na kwakujuana kwenye timu za ligi kuu. Vpaji vpo mtaani mpaka vnaozena sababu ya watu kupeleka wajomba zao. (Hadi makocha wanawachezaji wao na wanagawana nao mshahara).

Hata zikitokea nafas za kupeleka vjana ulaya kwenye trial, ni mwendo wa kupeleka ndugu zao tu. We mbwa usiyekua na connection hata kama unacheza kama messi utabaki mtaani mpaka akili ikukae sawa!
 
Mnaweza mkaenda kwenye trial lakn siku ya mwisho ukashangaa wanakuja watu hata hujawahi kuwaona kwenye mazoezi na ndo hao wanaochaguliwa! Tusitafute mchawi.
 
Based on your club performances especially Yanga and Simba, I expected a better performance at least against Zambia… am sure Yanga and Simba are superior to any clubs in Zambia…so now I believe your league in overrated…let’s see what you do against DRC… a nation with a civil war… no more excuses..🤣🤣
All DRC players are playing in Europe while several Zambian players are playing their trade in Europe hence, you cannot compare league strength to National teams.
West Africans have weak clubs in continental football but their national teans are very strong.
Nadhani ku analyze vitu wewe ni shida sijui darasani ulikuwaje 😁
 
So siku hizi Uganda is part of Kenya?
Is Bobi wine a Kenyan?

Next time before you post something here make sure you read it first.
Usimlaumu, article imeandikwa kwa kiingereza. Si unajua hawa jamaa Kiingereza ni balaa kwao. 😂 😂
 
Back
Top Bottom