Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Historia ya Egypt na Palestine huijui kijana wangu. Ungekaa kimya, ungeonekana wa maana.

Existence ya Gaza ni because of Egypt.

Hiyo ndiyo international politics. Waulize Ethiopia kwanini bwawa lao linatakiwa kujazwa taratibu mpaka miaka 20+. Egypt siyo ya kuchezea
We ndio huijui Bro.
Naijua kuliko uijuavyo wewe.
Na mimi nimemzungumzia AbdulFatah Elsisi sijazungumzia Egypt yote.
Namzungumzia Elsisi ambae amewekwa hapo Madarakani na USA kwa kufadhiliwa kumpindua Mohammed Morsi ambae alikua akiwatetea Palestina waziwazi.
Ukizungumzia ukombozi wa Gaza unamzungumzia Anwar Saddat ambae aliikomboa Sinai 1973.
Viongozi wa Egypt walio na misimamo walikua watatu tu Gamel Abdul Nasseer,Anwar Saddat na Mohammed Morsi ambao wakisema tunatetea tunatetea kweli.
Sio huyo Elsisi.
NASISITIZA NAJUA KULIKO WEWE.
 
Ndio tumeshataka hivyo,fanyeni mnachoweza
Suala la Ethiopia kuweka au kutokuweka base lingine na suala la Somaliland kuwa ndani ya Somalia ni kitu kingine.
Aya tuseme Ethiopia haitaweza kuweka naval base Somaliland,je Somaliland ndio itakubali kuwa ndani ya Somalia????
Embu nipe jibu?
 
Suala la Ethiopia kuweka au kutokuweka base lingine na suala la Somaliland kuwa ndani ya Somalia ni kitu kingine.
Aya tuseme Ethiopia haitaweza kuweka naval base Somaliland,je Somaliland ndio itakubali kuwa ndani ya Somalia????
Embu nipe jibu?
Nimekwambia ni Suala la mda tuu Kwa Somalia ku stabilize ikuze military zake ita take over hapo Somaliland kama Ethiopia walivyofanya kule Tigray.

Somalia ilikuwa imewekewa marufuku ya Silaha Sasa zimeondolewa so jiandaeni kisaikolojia hapo Hargeisa
 
Based on your club performances especially Yanga and Simba, I expected a better performance at least against Zambia… am sure Yanga and Simba are superior to any clubs in Zambia…so now I believe your league in overrated…let’s see what you do against DRC… a nation with a civil war… no more excuses..🤣🤣
Our league is not overrated, but full of foreigners which isn't good for our soccer development. Simba and Yanga squads most players are foreigners, Congolese,Zambians and few west africans.
 
We ndio huijui Bro.
Naijua kuliko uijuavyo wewe.
Na mimi nimemzungumzia AbdulFatah Elsisi sijazungumzia Egypt yote.
Namzungumzia Elsisi ambae ameweka hapo Madarakani na USA kwa kufadhiliwa kumpindua Mohammed Morsi ambae alikua akiwatetea Palestina waziwazi.
Ukizungumzia ukombozi wa Gaza unamzungumzia Anwar Saddat ambae aliikomboa Sinai 1973.
Viongozi wa Egypt walio na misimamo walikua watatu tu Gamel Abdul Nassee,Anwar Saddat na Mohammed Morsi ambao wakisema tunatetea tunatetea kweli.
Sio huyo Elsisi.
NASISITIZA NAJUA KULIKO WEWE.
Sasa unaanza kuzungumzia mtu unaachana na sera za nchi? Unaijua Sera ya Egypt kuhusu Palestine? Wewe unaongelea miaka ya juzi juzi tu 1973? Unaijua mikataba Suez?

Ungeanzia kwanza huko ndio uje huku.

Nimekuuliza unajua kwanini Ethiopia hawawezi kulijaza bwawa lao kwa haraka haraka? Chokochoko wanayoifanya huko Somalia inampatia Mwanya Egypt kutengeneza proxy conflict.

Ethiopia nawasihi wasijiingize kishwa kichwa kwenye conflict hii.

Egypt wanafahamika kwa proxy war.

Unajua maana ya Mamruki? Ukielewa maana yake hapa utawauliza Mongols namna walivyopigwa.
Ethiopia kafanya move yenye madhara makubwa sana kwakwe. Kumbuka Ethiopia is a landlocked
 
Nimekwambia ni Suala la mda tuu Kwa Somalia ku stabilize ikuze military zake ita take over hapo Somaliland kama Ethiopia walivyofanya kule Tigray.

Somalia ilikuwa imewekewa marufuku ya Silaha Sasa zimeondolewa so jiandaeni kisaikolojia hapo Hargeisa
Tigray haikuwahi kuwa semi autonomous kama Somaliland.
Tigray ilikua inatumia Birr kama hela yao kama ilivyo Ethiopia nzima.
Tigray ni eneo ambalo kulikua kuna wanasiasa tu ambao walikua wanataka kabila lao liiongoze Ethiopia nzima sio kujitenga ndio maana walianzisha vurugu kuanzia Tigray kuja mpaka Mji mkuu ndipo wakazuiwa.
Tofautisha na Somaliland ambayo toka 1993 wanajiendesha wenyewe.
Ingelikua hivyo China angeshaibeba Taiwan kwa haraka sana.
 
Sasa unaanza kuzungumzia mtu unaachana na sera za nchi? Unaijua Sera ya Egypt kuhusu Palestine? Wewe unaongelea miaka ya juzi juzi tu 1973? Unaijua mikataba Suez?

Ungeanzia kwanza huko ndio uje huku.

Nimekuuliza unajua kwanini Ethiopia hawawezi kulijaza bwawa lao kwa haraka haraka? Chokochoko wanayoifanya huko Somalia inampatia Mwanya Egypt kutengeneza proxy conflict.

Ethiopia nawasihi wasijiingize kishwa kichwa kwenye conflict hii.

Egypt wanafahamika kwa proxy war.

Unajua maana ya Mamruki? Ukielewa maana yake hapa utawauliza Mongols namna walivyopigwa.
Ethiopia kafanya move yenye madhara makubwa sana kwakwe. Kumbuka Ethiopia is a landlocked
Unahamahama sana.
Egypt sera za kiongozi husika ndio sera za nchi.
Huwa sera zao hazifanani.
Ingekua sera ni moja Anwar Saddat asingeuliwa na kupinduliwa na kiongozi aliemfuata na Morsi asingepinduliwa na Elsisi.
Hao hao viongozi wa juzi ndio wanaotajwa na Egypt wenyewe kuwa ndio viongozi walio na misimamo toka Egypt iwe taifa huru.
Unamzungumzia Elsisi ambae Israel mwaka jana imeua askari wake tisa ndani ya mpaka wake wa Sinai na hajafanya kitu??
Egypt haijai kuwa na Sera moja.
Unaizungumzia Mamluk dola ama mamluki kibaraka?
Kama kuhusu Mamluk dola, Ottoman Empire ndio ilomsaidia Egypt kumpiga Mongolia.EGYPT HAKUWA NA UBAVU WA KUPIGANA NA MONGOL.
Katafute sababu zilizoifanya Mamluk Sultanate ikubali kuwa pamoja mwishowe chini ya utawala wa Ottoman.
Proxy war muachieni Iran huko mwenye vibaraka takriban middle east yote mpaka Yemen sio Egypt.
Angekua Morsi ningesema pangenuka ila sio huyo Elsisi.
 
Unahamahama sana.
Egypt sera za kiongozi husika ndio sera za nchi.
Huwa sera zao hazifanani.
Ingekua sera ni moja Anwar Saddat asingeuliwa na kupinduliwa na kiongozi aliemfuata na Morsi asingepinduliwa na Elsisi.
Hao hao viongozi wa juzi ndio wanaotajwa na Egypt wenyewe kuwa ndio viongozi walio na misimamo toka Egypt iwe taifa huru.
Unamzungumzia Elsisi ambae Israel mwaka jana imeua askari wake tisa ndani ya mpaka wake wa Sinai na hajafanya kitu??
Egypt haijai kuwa na Sera moja.
Unaizungumzia Mamluk dola ama mamluki kibaraka?
Kama kuhusu Mamluk dola Ottoman Empire ndio ilomsaidia Egypt kumpiga Mongolia.EGYPT HAKUWA NA UBAVU WA KUPIGANA NA MONGOL.
Katafute sababu zilizoifanya Mamluk Sultanate ikubali kuwa pamoja mwishowe chini ya utawala wa Ottoman.
Proxy war muachieni Iran huko mwenye vibaraka takriban middle east yote mpaka Yemen sio Egypt.
Angekua Morsi ningesema pangenuka ila sio huyo Elsisi.
Ngoja twende taratibu. Maana maswali yangu unayakwepa.

Kwanini Ethiopia hawawezi kulijaza bwawa lao la umeme haraka haraka na litachukua zaidi ya miaka 20 kulijaza?
 
Ngoja twende taratibu. Maana maswali yangu unayakwepa.

Kwanini Ethiopia hawawezi kulijaza bwawa lao la umeme haraka haraka na litachukua zaidi ya miaka 20 kulijaza?
Hilo sikuwahi kulifuatilia na sina ujuzi nalo.
Maana sikuliona kuwa na mashiko kwangu .
 
Huwa mnamatamshi mabovu sana ya kiingereza kwasababu ya lafudhi nzenu nzito. Tena ukimkuta Mkikuyu, kuna shida nyingine ya kutamka maneno yenye 'th', mfano 'think' atasema 'dhink'. Maneno yenye 'or', mfano 'work' au 'word', yanatamkwa kwa 'ae' sound, siyo 'a' sound kama Wakenya mnavyotamka.
Hayi yenu ya kusema hev instead of have ama wek instead of work ndio mazuri? The only original English accent is from the Englishmen themselves, hizi zingine zote ni Bonoko. Usiangalie yenu ukasema ni Bora kuliko nyingine wakati zote ni Bonoko. What matters is the grammar of which Tanzania is the worst in all English speaking countries.
 
Unahamahama sana.
Egypt sera za kiongozi husika ndio sera za nchi.
Huwa sera zao hazifanani.
Ingekua sera ni moja Anwar Saddat asingeuliwa na kupinduliwa na kiongozi aliemfuata na Morsi asingepinduliwa na Elsisi.
Hao hao viongozi wa juzi ndio wanaotajwa na Egypt wenyewe kuwa ndio viongozi walio na misimamo toka Egypt iwe taifa huru.
Unamzungumzia Elsisi ambae Israel mwaka jana imeua askari wake tisa ndani ya mpaka wake wa Sinai na hajafanya kitu??
Egypt haijai kuwa na Sera moja.
Unaizungumzia Mamluk dola ama mamluki kibaraka?
Kama kuhusu Mamluk dola, Ottoman Empire ndio ilomsaidia Egypt kumpiga Mongolia.EGYPT HAKUWA NA UBAVU WA KUPIGANA NA MONGOL.
Katafute sababu zilizoifanya Mamluk Sultanate ikubali kuwa pamoja mwishowe chini ya utawala wa Ottoman.
Proxy war muachieni Iran huko mwenye vibaraka takriban middle east yote mpaka Yemen sio Egypt.
Angekua Morsi ningesema pangenuka ila sio huyo Elsisi.
Je unaijua hii

1 July 1960

On 26 June 1960, the British Somaliland protectorate gained independence as the State of Somaliland. Five days later on 1 July 1960 Somaliland officially merged with the Trust Territory of Somalia to create the Somali Republic (Somalia).
 
Hilo sikuwahi kulifuatilia na sina ujuzi nalo.
Maana sikuliona kuwa na mashiko kwangu .
Ndio maana ninakwambia huijui Geopolitics. Unaongea vitu kwa hisia tu.

Kama huijui conflict ya Egypt na Ethiopia unapata wapi nguvu ya kuongelea relationship ya Somaliland na Ethiopia. Also Egypt na Somalia?

Huku unamkandia Elsisi wakati ndiye aliye wabana kend2 Ethiopia?

Njoo na taarifa za uhakika na uijue Egypt vizuri.
 
Hayi yenu ya kusema hev instead of have ama wek instead of work ndio mazuri? The only original English accent is from the Englishmen themselves, hizi zingine zote ni Bonoko. Usiangalie yenu ukasema ni Bora kuliko nyingine wakati zote ni Bonoko. What matters is the grammar of which Tanzania is the worst in all English speaking countries.
Kwahiyo English ya Kenya ni Bonoko?
 
Back
Top Bottom