Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Buses za Europe hizi, inapiga route ya wapi hii?
Hayo mabus wanayopost mengi route zake ni nairobi mombasa na kidogo kisumu na eldoret, sasa mwambie akuonyeshe mabus japo matano tu ya route moja yanayoenda miji tofauti na hyo ( lisianzie nairobi).Ila kwa Ground why hatuoni Ena Coach na wengine wa Teargas, kazi kuona makarai mpaka City Centre, yaani Bongo mabasi ya 2000s ambayo nowdays yapo huko vijijini ndani ndani kwenda Rough roads, Kenya ndio yanatamba Jijini.
Au ndio ukweli Kabasi kazuri ni kamoja mengine yote ngijangija, Ngarangara, Nyundo. No wonder Gor Mahia basi lao lililingishwaaa weee maana hawajazoea
Hilo neno toka aliibe Tanzania akashindwa kuiba na limit, yeye ni kutenga tu muda wote 😂😂😂William Kipchirchir Samoei arap Ruto naye anasema tumetenga au tutatenga; sasa shida iko wapi hapo?😎😎
wana bahati sn qmamae zao, nilitaka wajue jinsi gn soka la Tz halina mpinzani ukanda huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wamekimbiza vishundu vyao 😅😅😅
View attachment 2857692
Mambo mengine msiwe mnawasanua, muwaache na ujinga wao . Muda utawapa majibu.Traffic jam in Dar port due to increased trade and not otherwise. According to WB Dar port is ahead of Mombasa, Beira and Durban in efficiency sasa sijui mnaongelea efficiency gani hapa.
Maneno mengi wakati In Kunya this man is a rich man. Isn’t he?I don't listen sorcerers like you. The only thing Tanzania is better than Kenya ni uchawi na urogi.
Unaumia ukiwa wapi?😎At Mombasa Port all the 20 ships ni za mizigo.
Amemtapeli nani?? Kati ya Samia na Maria Sarungi nani tapeli??Achana na huyo tapeli wewe nyumbu.Hata uwe na PhD 💯 haizuii kuwa tapeli na ni kazi Bure