Inasikitisha sana serikali inamefilisika kabisa hata mawazo tu, Nyerere alipiga marufuku madini ya vito gemstones kuchimbwa na wageni kabisa na ndio maana miji kama ya Arusha ilikua kwa kasi sana sababu ya locals kuchimba Tanzanite wenyewe hence ikapelekea uchumi shikirishi kukua na kunufaisha locals wengi sana, baadae wasio na akili wakaruhusu mpaka wakenya wakawa wanakuja kuchimba, Magufuli alipoingia akawafukuza na kuzungusha ukuta, mpaka wanyarwanda walikua wanachimba mle kisa tu mamlaka wanayo wasio na akili wala aibu
Huwezi kusema wananchi wajiongeze wenyewe bila kuwawekea sera na mikakati ya kufika dunia ilipo leo, bado watanzania wengi wapo kwenye feudalism state of thinking, modern economy bado wengi hawajui, wengi wanamiliki mifugo mingi, mashamba makubwa wanaficha pesa uvunguni, ndani ndani huko watu wana pesa nyingi sana lakini hawajui wazipeleke wapi, serikali kupitia mabanki na taasisi kama TIC inatakiwa ije na incubation program kuwavusha watanzania wenye capital potential kutoka kwenye primitive economy.