much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Fursa Magufuli alishindwa kuona! BTW Bagamoyo port ingekuwa inakula nyomi !
View: https://youtu.be/hLPJfyLgIL0?si=6JqPJ7zrOntJdlEZ
Mbona hata mama Samia hajaiona ukiona ivo ujue ni uwekezaje wa kimagumashi sana ndo maana hata serikali ya awamu ya sita imeona aibu kuupitisha