Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,627
Sio kunyastan tu,comoro 80% ya bidhaa zao wananunulia TZ,uliza sasa kama hao ccm wana data ya vitu tunavyouza comoro,bakhresa ana hadi meli inaitwa azam comoro na hata zile kubwa sea link uwa zinapiga route yq comoro mizigo ikiwa mingi,bado kuna meli zingine zinazopeleka mzigo comoro,mcomoro ananunua ng'ombe meli nzima,magodoro,cement,matunda n.k anapeleka kwao,na hamna data yoyote,ccm wapo wapo tu ili mradi familia zao zinaishi fresh hamna wanachojalinimeongea sn kuhusu kulala kwa viongozi wa hii nchi, tatizo wengi wazee, CCM inatuharibia sn hii nchi, imagine takwimu kama hizi hazionekani, wenzetu wakunya hata wakiuza kijiko Tz wanakipiga picha wanapost, nchi ina viongozi mizigo sn hii.