The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
nimeongea sn kuhusu kulala kwa viongozi wa hii nchi, tatizo wengi wazee, CCM inatuharibia sn hii nchi, imagine takwimu kama hizi hazionekani, wenzetu wakunya hata wakiuza kijiko Tz wanakipiga picha wanapost, nchi ina viongozi mizigo sn hii.Tahmmed kwenye cargo ya zile fuso kwa sasa anafanya biashara kuliko hata buses,mombasa hadi magodoro wananunua TZ,sofa,nguo za kike hasa madera zote wanatoa TZ,fuso za Tahmed kwa siku hata 5 zinatoka pale kkoo ofisini kwao,shida iliyoko TZ tuna viongozi vilaza awaweki data vitu tunavyoexport kunyastan,kwa upande wa nairobi pochi za kike wanakuja kuchukulia TZ,sasa hivi TZ ndio china yao wakunya