Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na huyo tapeli wewe nyumbu.Hata uwe na PhD 💯 haizuii kuwa tapeli na ni kazi Bure
Amemtapeli nani?? Kati ya Samia na Maria Sarungi nani tapeli??

Samia kauza ngorongoro,kauza bandari na sasa anataka kufanya awezalo JNHP isikamilike kwa wakati ili mambo yake ya kifisadi yakamilike
 
nimeongea sn kuhusu kulala kwa viongozi wa hii nchi, tatizo wengi wazee, CCM inatuharibia sn hii nchi, imagine takwimu kama hizi hazionekani, wenzetu wakunya hata wakiuza kijiko Tz wanakipiga picha wanapost, nchi ina viongozi mizigo sn hii.
Yani we acha tu mkuu,kiukweli tunahitaji mfumo(Chama) mwingine wa kiuongozi ambao hautokani na dam ya CCM
 
Compare Mombasa and Dar Port. Out of 20 the ships that arrived in Dar Port between today and 28th December, 11 ships are pilot and tug boats. Carrying nothing.

Screenshot_20231118-101001~2.png

IMG_3109.jpeg
 
Back
Top Bottom