Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kati ya Walikale na Kisangani Kuna nini kipo katikati kinazuia reli isinyooke?
Estimated budget ni USD 900m na tayari kuna tajiri mmoja mwenyewe migodi Burundi alijitolea kutoa hela yote ya ujenzi ili tukatane kwenye kubeba mzigo wake wa madini huko mbeleni imagine ni mzigo mkubwa kiasi gani atakuwa anasafirisha kila mwaka ku warranty hiyo hela yote USD 900m.
Hii approval ya AFDB ni bonus kubwa kwa kipande hiki cha reli.
 
Mizigo gani ya maana inaenda burundi?
Iyo pesa jengeni roads na electricity kwenu ifike 90%>
Pia muondoe uswazi nchi mzima.
Kwani hujasikia by june 2024 all Tanzanians will have access to electricity. Sisi tunafanya vyote simultaneously umeme production JNHPP, transmission is currently being overhauled, distribution ongoing kila village.
Barabara tunajenga matenda ya bilions of dollars kila siku yanasainiwa.

Sisi hatupoi our economy is firing on all cylinders 😁
 
Wakundustan wamejaa JKCI kama kumbi kumbi na hawana popote pa kwenda Africa zaidi ya Tanzania pale hospitali zao zote zinapoinua mikono

Angalia wamalawi wanavyofurahia huduma za kibingwa


View: https://youtu.be/YvM2S6nezLs?si=FKNsGbu4zIX1sUkj

Wapo wengi sana,sasa hao wacomoro ukienda hadi hospitali ya mnazi mmoja pale unawakuta,kunyan ndio usiseme wamejaa JKCI na KMC kule kilimanjaro wamejaa wa kumwaga,ukija kwenye boda tulizopakana na kunyan,upande wa kunyan hamna huduma za kiafya kunyan wote wa pande zile uwa wanavuka boda kuja TZ kutibiwa,watanzania tuna huruma sana
 

Hivi ndio mnadanganywa..tuko nayo uku kenya..hicho kifaa..
1702474628638.png
1702474687055.png

View: https://www.facebook.com/Coptic.Hospital.Nairobi/videos/987261762270776/
 
Wamebaki kutahamaki na kushangaa eti Tanzania bado kuna mashamba, ukiangalia comments kwenye videos za wakenya wenzao waliotembelea Tanzania wa nashangaaga Tanzania kuwa na eneo kubwa lenye rutuba na hapaishi mtu kabisa 🤣 hapo ndio huwa najiuliza kama idadi yao ni sahihi kweli? Hata miji yao inaonesha inamsongamano mkubwa sana wa watu tofauti kabisa na Tanzania
Wakenya wapo wengi sana zaidi ya watanzania alafu kanchi kao ni kadogo.
 
Back
Top Bottom