The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Hili li Tanzania haki ya mama ni likubwa balaa alafu watu hakuna kabisa, kote huku ni pori tupu aisee, watanzania sisi ni wavivu kuzaana wallahi, wenzetu wakenya wanazaana kama panya kanchi kadogo wapo zaidi ya 60m.