Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upo Wavuvi camp sio?
Kabisa
IMG_5435.jpeg
 
Naona unaangalia meli kwenda Dar port zilivyopangana! Kuna za kuleta pipelines za EACOP, kuna za mafuta ya Uganda, kuna za magari ya nchi nyingine, kuna za locomotives za electrical SGR pia.
Laini ya meli inaonyesha inefficiency not SIFA.
Shows poverty
 
Ila we Jamaa Huwa unanifurahisha,Kwa hiyo wewe Huwa una your own GDP figures 😆😆😆😆
Nchi maskini na omba omba kama kundustan pa1 na ile gdp yao ya kuchovya haiwezi kuendesha miradi ya kama ya rufiji hydropower,sgr,brt system phase 2,3,4 kwa wakati mmoja,huku miradi ya barabara nchi nzima ikiendelea na bado mishahara kwa watumishi wa umma inalipwa kwa wakati,angalia wazee wa gdp ya kuchovya kundustan vimiradi vyao na bado serikali yao inafikia kipindi inashindwa kulipa mishahara
 
Back
Top Bottom