Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Idadi ya watu, mahitaji na biashara pamoja na maendeleo yameongezeka sana ukanda wetu wa kusini (SADC) na hiyo ndiyo sababu ya huo msururu wa meli. Bandari tunazo tatu na ufanisi unaongezeka.
Msusruru wa meli is an indicator of port efficiency. Haimaninshi kwamba biashara imenoga. Umeambiwa Mombasa port handles three times the volume that Dar port handles but hakuna msongamano. Mficha uchi hazai kaka!!
 
Zaire ni another Shithole.
That's a big gamble.
Kwaakili yako finyu mzigo wa zaire ulivyo mkubwa unaona ni gamble sio? Sasa Zaire na Uganda nani ana mzigo mwingi na bado mnalilia reli ifike malaba wakati Uganda hawana economies of scale ku feed SGR yenu ilete faida au hii sio gambling pia?

SGR Tanzania inakwenda kutoa huduma great lakes region yote hadi Uganda. Na hivi Uganda ameenda na Yapi Merkez ujue system yao zitakuwa tofauti na zenu kuanzia reli, communications kila kitu hii itakupa muelekeo Uganda wanaumga SGR yao wapi 🤣🤣🤣
 
Yaani Kwa nini wanafanya Uamzi wa kujenga terminal mbili? Kwamba Airport ya Mwanza Ina uhitaji huo au?
Jengo la zamani halina viwango vinavyostahili halina partition, lipo kama jumba la sinema, halina vitu vya msingi zaidi ya hall la kukalia watu kama wapo kwenye kikao.
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆
Bila shaka Hilo Jenga Ali design yule baba yenu Injinia Mwendazake
 
His point is, an efficient port doesn't have so many ships waiting in line. Hata wakati huo mkiwavna three ships in line bado mlikuwa tu inefficient. Wacha kutetea inefficiency
Mbona Durbam ina meli nyingi kwenye outer anchorage kuliko Mombasa unataka kuniambia Durban iko less efficient kuliko Mombasa?
 
Tatizo lako wewe linalokusumbua ni chuki na wivu wa kike uliopitiliza, huwezi kukubali kwamba umeshindwa, mwisho wa siku utakimbia jamiiforums kisa Kenya kushindwa na Tz, usenge huo. Kubali kushindwa, jifunze kupitia makosa zen move on.
Ameshindwa Kwa lipi? Is it not true that nchi yenu ikiongozwa na kiongozi wao Dar ni uswazi? Ama tulete ushaidi humu?
 
Mbona Durbam ina meli nyingi kwenye outer anchorage kuliko Mombasa unataka kuniambia Durban iko less efficient kuliko Mombasa?
Yes that's the point. An efficient port should have the supporting infrastructure to enable it handle the incoming cargo volume. A port may handle just two or three ships per month but they end up staying at the dock for ages. That's inefficiency.

Durban port having more ships on the outer anchorage than Mombasa shows its (Durban's) inefficiency than Mombasa. At the end of the day, an importer would prefer Mombasa more than Durban. That's the point
 
Haki ya mama watanzania tuzaane jmn, nmetembea zaidi ya km 300 from Dar kuanzia asubuhi napost picha mpk sahizi jioni sijafika ninapoenda lkn ni pori tupu, no wonder hii nchi ndio tulizo la dunia kwa fresh hair breath, tumshukuru Nyerere kwa kupambana na kuhakikisha mipaka yetu haiguswi.
DSC_0068.JPG
DSC_0067.JPG
DSC_0066.JPG
DSC_0065.JPG
 
Kwaakili yako finyu mzigo wa zaire ulivyo mkubwa unaona ni gamble sio? Sasa Zaire na Uganda nani ana mzigo mwingi na bado mnalilia reli ifike malaba wakati Uganda hawana economies of scale ku feed SGR yenu ilete faida au hii sio gambling pia?

SGR Tanzania inakwenda kutoa huduma great lakes region yote hadi Uganda. Na hivi Uganda ameenda na Yapi Merkez ujue system yao zitakuwa tofauti na zenu kuanzia reli, communications kila kitu hii itakupa muelekeo Uganda wanaumga SGR yao wapi 🤣🤣🤣
Huyo anatapatapa Kwa wivu baada ya Sgr Yao ya diesel kuishia kichakani 🤣🤣
Mwambie asome hii makala hapa
 
Back
Top Bottom