Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

baada ya bwawa nahisi tuangalie nyuklia singida kabisa tuwe na reactor ya nyuklia tuwe na umeme wa kutosha tuwalishe hawa nyumbu russia ni watu wetu serekali iweke huu mkakati mapema.
kwa serikali hii sidhani, unajuwa Kikwete ndiye aliyeshika remote. Nakumbuka kuna kipindi Putin alikuwa aje TZ wakati wa awamu ya nne (Kipindi kile Xi alipokuja Tz), inaonekana alipata "ushauri" kwa hao jamaa zake, ile ziara ikafa kibudu.
 
Anaongea matope hizo ajira za Hollywood si za kudumu halafu sidhani kama idadi itazidi 50! Yet kaweka kama main point kwenye speech ya miaka 60 ya Kunyaland! Yaani ni hewa kichwani mpska basii!
Alivyokosa mshipa wa aibu anaongea huo utumbo mbele ya Marais wenzake? Me nikajua yupo site huko korogocho anawapanga kondoo wake as usual 😂😂😂😂
 
Walisema mzigo wote wa Bomba za EACOP ungepita Mombasa 😅

Employment chain ya logistics zote hizi mtanzania anapeta!

Dar to Tabora 835km ni distance kubwa kwa idadi ya mabomba ya mradi ni uchumi mkubwa utakua kuanzia kodi kwenye diesel ya logistic nzima na kila kitu!

20231213_005236.jpg
 
Wachezaji wa Kimataifa Wana show interest sana na Ligi ya Tanzania.

Just imagine huyu dogo alikuwa mchezaji Bora wa mwaka wa Botswana na beki kisiko wa Jwaneng Galaxy amekataa ofa ya timu kubwa za Waarabu na S.Afrika akakubali kuja Tanzania tena Singida Fountain Gate.
 
Huyu prime fuels ana gari nyingi zaidi ya nusu zina tenda huko Angola, Namibia na Zimbabwe. Chuma zikienda huko zinapiga kazi mwaka au miezi kadhaa.
Kwenye Logistics Industry labda mshindnai wa Tanzania Kwa Mashariki na Kusini ni South Africa tuu ,Nchi nyingine ni wachumba zetu.

Usangu Logistics Kampuni ya Waburushi wa Mbarali ilihamishia HQ yake Ndola kutoka Dar/Mbeya wakati wa Mwendazake.

View: https://twitter.com/GodemaE/status/1732008917348065292?t=5uysohKz381AJSba7DF9nw&s=19
Mwisho hizi kampuni zinazofanya kazi huko Nje ya Nchi zinaruhusiwa kufanya profit expatriation to Tanzania au nao wanaogopa siasa zisizotabirika za Bongo,nachelea kusema wangekuwa wanarudisha mapesa wanayopata hapa Tanzania tungekuwa mbali zaidi kwenye sekta zingine.

View: https://twitter.com/GodemaE/status/1719794265939665363?t=DwocduY9NTs3x8zMYcuBSw&s=19
 
Walisema mzigo wote wa Bomba za EACOP ungepita Mombasa 😅

Employment chain ya logistics zote hizi mtanzania anapeta!

Dar to Tabora 835km ni distance kubwa kwa idadi ya mabomba ya mradi ni uchumi mkubwa utakua kuanzia kodi kwenye diesel ya logistic nzima na kila kitu!

View attachment 2840999
Hii miradi yote gdp yetu itakua iko mbali sana tofauti na data zinavyoonyesha
 
Back
Top Bottom