chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,688
- 45,951
Huyu Rais kwanini asijiunge futuhi group 😂😂😂😂
Umeona full comedy 😂😂😂😂😂Huyu Rais kwanini asijiunge futuhi group 😂😂😂😂
Ni kampuni ya mtanzania mzawa.? Duh kama ni hivyo basi huyo jamaa ana balaa mkuu.Na Gari zote hizo ni za kampuni moja.. Prime fuels.
Anaongea matope hizo ajira za Hollywood si za kudumu halafu sidhani kama idadi itazidi 50! Yet kaweka kama main point kwenye speech ya miaka 60 ya Kunyaland! Yaani ni hewa kichwani mpska basii!Huyu Rais kwanini asijiunge futuhi group 😂😂😂😂
Ni kampuni ya mtanzania mzawa.? Duh kama ni hivyo basi huyo jamaa ana balaa mkuu.
Kula bia baba pia manzi zipo pia 😁 😁 🤣 🤣 🤣
Wewe fanya corrections acha mimi nikajibambe, sawa?ako=yupo. Aisee tafadhali usilete Kiswahili cha kinyan’gau hapa Tz😎
Joka January mkuu sasa hivi tunawapiga na nyundo ya locomotive teleza 🤣🤣🤣najua hii mwisho wa disemba kimoja kitakuwa lile joka.
Bora hata angesema bei ya unga haitazidi 150 bobsAnaongea matope hizo ajira za Hollywood si za kudumu halafu sidhani kama idadi itazidi 50! Yet kaweka kama main point kwenye speech ya miaka 60 ya Kunyaland! Yaani ni hewa kichwani mpska basii!
Hahah mbona zile chache sana mkuu..
Kuna watu Wana vyuma sio poaaa..
Furahia tofauti😎Wewe fanya corrections acha mimi nikajibambe, sawa?View attachment 2840815
Na me nipo apa wavuvi ngoja nikunaseWewe fanya corrections acha mimi nikajibambe, sawa?View attachment 2840815
Usisahau kuenda ku tour gongo la mboto..na mbagala..Wewe fanya corrections acha mimi nikajibambe, sawa?View attachment 2840815