Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Mwamba mmenikumbusha Mambo mengi sana
Daah umenikumbusha issue ya covid nlikuwa natimba kariakoo job jioni nakula chai nzito ya tangawizi na limao maisha yalienda poa walitusema tutaokokwa kama mzoga ila mungu mkubwa tulivuka Mwenyenzi Mungu amlaze mahala pema peponi yule mwamba aisee alivaa ubaba wa familia na tukavuka pamoja asante kwake sana.