Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stay tuned Kwa breaking news Saa Tisa kasoro Noble Helium(NHE) wanatoa taarifa rasmi za uthibitisho wa kama wamegundua Helium kwenye visima vyao 2 walivyochimba Bonde la Rukwa vya Mbelele-1&2.

Vikifaulu kuwa Bull case itakuwa ugunduzi mkubwa zaidi na WA kutosha Kwa Ajili ya kuanza uzalishaji wa kibiashara yaani reserves yake inaweza fika 15.7Bcf(1/3 ya current global supply).

Nawakumbusha tuu kwamba Bonde la Ziwa Rukwa linakisiwa kuwa na helium gas reserves ya 176Bcf.

Hii ikifaulu itakuwa habari nzuri sana Kwa Tanzania.

View: https://twitter.com/Noble_Helium/status/1731576572086247572?t=mrUfoka9cpfAijYJ7e01ZA&s=19
 
Stay tuned Kwa breaking news Saa Tisa kasoro Noble Helium(NHE) wanatoa taarifa rasmi za uthibitisho wa kama wamegundua Helium kwenye visima vyao 2 walivyochimba Bonde la Rukwa vya Mbelele-1&2.

Vikifaulu kuwa Bull case itakuwa ugunduzi mkubwa zaidi na WA kutosha Kwa Ajili ya kuanza uzalishaji wa kibiashara yaani reserves yake inaweza fika 15.7Bcf(1/3 ya current global supply).

Nawakumbusha tuu kwamba Bonde la Ziwa Rukwa linakisiwa kuwa na helium gas reserves ya 176Bcf.

Hii ikifaulu itakuwa habari nzuri sana Kwa Tanzania.

View: https://twitter.com/Noble_Helium/status/1731576572086247572?t=mrUfoka9cpfAijYJ7e01ZA&s=19

hii nchi nahisi ndio mwenyenzi mungu aliiandaa sio bure nchi ya asali na maziwa. Ni nini TANZANIA tunakosa kwa uwezawake MWENYENZI MUNGU?
.
 
Back
Top Bottom