Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The fact remain that our diesel locomotive is superior to your electric locomotive speedwise.
Sio wewe huyu, haya rudia hii kauli yako kwanza👇👇🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20231118-101001~2.png
 
Bado unataka kuendelea kujiabisha.. give me reason, why trains zikiwa kwenye line haiwezi kuvuka 140km/h (yan kwa uwezo wake wote, yan tuseme "unakanyaga gear" hadi mwisho, bati, haifiki 140km/h).. mim siongelei suala la kupata ajali na train ya mizigo, naongelea uwezo wa kutovuka 140km/h (hapa naona unatafuta kichaka cha kutaka kupotea)

Train yetu ina 160km/h capacity, lkn umesema haivuki 160km/h. Yenu ina 120km/h capacity.. lkn dereva "akikanyaga" bati itavuka hadi 157km/h, maajabu au sayansi ya wapi hii?
Treni yao inaendeshwa na upepo pia
 
Back
Top Bottom