Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
Ikikamilika watajua hawajui. the giant ufunguo alikuwa ni magu na giant lishaamka kila kiongozi anayekuja anataka awe mfano.Alafu hiyo NCHI ya GDP kubwaaa, yenye ugomvi na madirisha kwa maghorofa, ya ngijangija, yenye flying toilet, Yenye kupaka rangi ya nyumba bus.
Hakuna sehemu nyingine nchi nzima ya kupokelea msaada zaidi ya Ikulu, ni aibu sana kuletewa Sim Tank aka madumu makubwa na viroba vya unga Ikulu, na picha inaenda hewani.
Bongo sijawahi ona Ikulu inapokea vitu may be nionyeshwe, mara nyingi misaada inapokelewa site inayoenda, na either kiongozi wa chini zaidi.
Alafu humu wanakaza fuvu, eti Nchi kubwaa.
Naona siku hizi wanaidharau ile EACLA Pale Ubungo ngoja ikamilike wajue ni Mall ipi inaingiza pesa EA.
Mkuu kuna baazi ya vitu nilikuja navyo ukunyani kwa ajili ya kazi zangu ila cha kushangaza kuna mkunya tunae kwenye field tayar kasema ni fake sijui kwa kuwa mimi mbongo?🤓🤓🤓nilikaa kimya sikumjibu baada ya muda kaona aibu nakuja kuomba msamaha eti nili misquote kauli yake😅😅Unajiuliza hapo kuna nini kichwani mwao, eti kuna mwingine alisema Kenya is 30 year ahead of Tanzania, whatever in Tanzania is already in Kenya, akatandikwa swali BRT ipo tuanzie hapo, hukuonekana tena.
Kuna wajinga waliichukua Tren ya mkoloni wakaanza kusema TZ tuko nyumaa mara Garimoshi lao liko 30 year ahead, unajiuliza vipi, hawajui kwamba sisi zamani tuliona reli ya mkoloni inasumbua tukaanza on scratch na ELECTRIC SGR njia ile ileee.
Alafu hapo mpumbavu kasema Already in Kenya, hua najiuliza kuna tatizo gani vichwani mwao.
View: https://twitter.com/Allyclay/status/1730996503269818562?t=VBxn89e3dddYl1BlP3RiTw&s=19
View: https://twitter.com/Allyclay/status/1730996503269818562?t=NEHsJsTTNYOQhRT2Qgd4UQ&s=19
View: https://twitter.com/SammyMavision/status/1731028562948280761?t=MUlEXxSYNCweoxsj7Slc3g&s=19
View: https://twitter.com/gabrieloguda/status/1731221866277138820?t=-P2wyOuDL1eW2j6bZMmUXg&s=19
View: https://twitter.com/15egos/status/1731251451530252420?t=Wdj423QEUL4YXvmRPIHHqw&s=19
View: https://twitter.com/Davidkimmzz/status/1731231332410245626?t=JMWUrXAlfBYAaOaHmn_0rA&s=19
Ni wabishi wakuzaliwa hawa majitu walilishwa propaganda potofu juu ta Tz sasa hivi wako kwenye reality check akili zimewaruka 🤣🤣🤣Unajiuliza hapo kuna nini kichwani mwao, eti kuna mwingine alisema Kenya is 30 year ahead of Tanzania, whatever in Tanzania is already in Kenya, akatandikwa swali BRT ipo tuanzie hapo, hukuonekana tena.
Kuna wajinga waliichukua Tren ya mkoloni wakaanza kusema TZ tuko nyumaa mara Garimoshi lao liko 30 year ahead, unajiuliza vipi, hawajui kwamba sisi zamani tuliona reli ya mkoloni inasumbua tukaanza on scratch na ELECTRIC SGR njia ile ileee.
Alafu hapo mpumbavu kasema Already in Kenya, hua najiuliza kuna tatizo gani vichwani mwao.
Tunashukuruuuu sana Magufuli kuwa Raisi, maana ametufungua macho sana, amekua vivid example kwa kila maendeleo, so kiongozi akileta mbamba tunamtandika, Imagine Samia alitaka badili sheria ya Magufuli kisa DP world, dah je, hiyo sheria isingewekwa tungeenda na maji.Ikikamilika watajua hawajui. the giant ufunguo alikuwa ni magu na giant lishaamka kila kiongozi anayekuja anataka awe mfano.
Ego mkuu inawasumbua.Mkuu kuna baazi ya vitu nilikuja navyo ukunyani kwa ajili ya kazi zangu ila cha kushangaza kuna mkunya tunae kwenye field tayar kasema ni fake sijui kwa kuwa mimi mbongo?🤓🤓🤓nilikaa kimya sikumjibu baada ya muda kaona aibu nakuja kuomba msamaha eti nili misquote kauli yake😅😅
Kama kuna viumbe hasidi na wenye wivu ukanda wa subsaharan Africa ni wakunya😃
Acha tuzidi kuwa enjoy mkuu wanatumia nguvu nyingi sana while Tanzania vitu vina flow bila struggle tumshukuru mungu japo tumechelewa ila speed tunayo kuja nayo ni zaid ya magari ya formula one.Aki kunyans wanachekesha sana eti electric trains kama za kenya 🤣🤣🤣.
Nyangau tumewashika pabaya sana mpaka wanachanganyikiwa🤣🤣🤣
Daah umenikumbusha issue ya covid nlikuwa natimba kariakoo job jioni nakula chai nzito ya tangawizi na limao maisha yalienda poa walitusema tutaokokwa kama mzoga ila mungu mkubwa tulivuka Mwenyenzi Mungu amlaze mahala pema peponi yule mwamba aisee alivaa ubaba wa familia na tukavuka pamoja asante kwake sana.Tunashukuruuuu sana Magufuli kuwa Raisi, maana ametufungua macho sana, amekua vivid example kwa kila maendeleo, so kiongozi akileta mbamba tunamtandika, Imagine Samia alitaka badili sheria ya Magufuli kisa DP world, dah je, hiyo sheria isingewekwa tungeenda na maji.
Now kiongozi ukileta kisingizio cha kukopa sana tunakuuliza JHNPP, LOT 1 ya SGR vipi pesa za ndani?
JHNPP ilipata upinzani sana sidhani kama ingepewa fund na wazungu ndio sababu ilikua inafanya isifike popote, ila mwamba kawasha.
Wakunya wana miaka 13 na kujenga kaCity kao, ila mwamba DOM kaifanya iwe ukweli sana ndani ya kipindi kifupi.
Namkubali sana kwa Uzalendo, tunaomba Raisi mwingine hata nusu yake, na hiyo nusu iwe kwa misimamo.
Kichwa kimoja hatari lile sakata la COVID asee kila nikifikiria navua kofia ilikua akili kubwa.
Ona sasa kunyan walikua wanatutukana now ukiona madhara wanayoyapata sasa yametokana na kufata fata kila kitu cha mzungu. Wakati sisi kazi inafanyika wao wanapigana Lockdown mchana.
Yeah, ni moja ya Iconic decision yake, imagine homa ya maburg Samia angejifanya kutupiga Lockdown tungemwelewa?Daah umenikumbusha issue ya covid nlikuwa natimba kariakoo job jioni nakula chai nzito ya tangawizi na limao maisha yalienda poa walitusema tutaokokwa kama mzoga ila mungu mkubwa tulivuka Mwenyenzi Mungu amlaze mahala pema peponi yule mwamba aisee alivaa ubaba wa familia na tukavuka pamoja asante kwake sana.
asingeeleweka kabisa enzi ya jiwe tanzania ilitrend kwenye vyombo kibao vya kimataifaYeah, ni moja ya Iconic decision yake, imagine homa ya maburg Samia angejifanya kutupiga Lockdown tungemwelewa?