KOMANDO YOSO
JF-Expert Member
- Sep 7, 2023
- 819
- 2,864
Kweli kabisa mkuu, nina uhakika tunapita hili kundi japo gumu sana.Ila yanga wamechezea mpira mkubwa sana kwa kweli yanga itashangaza africa 🤗🤗
Kuna muda mpaka al ahly walirudi nyuma kujiuliza hii ni yanga kweli manake tuliwapelekea moto kama dakika 20 mfululizo😅😅😅Kweli kabisa mkuu, nina uhakika tunapita hili kundi japo gumu sana.
Labda kipindi Cha kwanza ila second Half hakuna kitu,waliokata moto mapema sana.Ila yanga wamechezea mpira mkubwa sana kwa kweli yanga itashangaza africa 🤗🤗
Bado mpo kwenye enzi ya analogy dashboard kweli mchina kawafanyia ukatili mkubwa sanaSasa dashboard pia imeanza kuwavhanganya. Mmepata our diesel locomotive has a more detailed dashboard kuliko hiyo yenu ukaogopa😂😂
View attachment 2831389View attachment 2831390View attachment 2831391
umeona enhee?Bado mpo kwenye enzi ya analogy dashboard kweli mchina kawafanyia ukatili mkubwa sana
where r buildings for Northlands?27 Km from CBD Nairobi. This is Northlands Nairobi
View attachment 2831927
View attachment 2831922View attachment 2831919
KANAIRO na Mwai Sadima Dickson mwaiofhawaii mpumbavu wa ukoo wa Sadima njooni mjibu!Hivi Hawa wakenya wanaweza kutekeleza miradi ya more than USD billion 12 kwa pamoja?
Hiyo dashboard ya trains zetu is more modern and detailed kuliko hiyo yenu. No wonder wengi wenu walishangaa vile waliona hadi wakasema sio ya trains za Kenya.Bado mpo kwenye enzi ya analogy dashboard kweli mchina kawafanyia ukatili mkubwa sana
Duuu watu washangae analogy dashboard ya train ya diesel kweli wewe ni nyang'auHiyo dashboard ya trains zetu is more modern and detailed kuliko hiyo yenu. No wonder wengi wenu walishangaa vile waliona hadi wakasema sio ya trains za Kenya.
Maana miradi mikubwa kwao ni barabara tuKANAIRO na Mwai Sadima Dickson mwaiofhawaii mpumbavu wa ukoo wa Sadima njooni mjibu!