babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,322
- 35,772
Huko umeenda mbali sana.Mkunya anabeza bidhaa ya china 🤣🤣🤣🤣🤣 while kila unachopost kujisifu nacho humu ambacho at least ni competitive to ours ni Chinese made. SGR, GTC towers, express way.. au unaongea hivyo kwasababu unaona kushindwa.? 🤣🤣 Maneno ya mkosaji. Sizitaki mbivu hizi ..
Simu anayotumia tu utakuta ni made in China. 😂😂😂