Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

China anatengeneza chochote lakini mabasi wanauzia Tanzania ni fake. Hii ni Marcopolo G7 ya aina gani Sasa? Face ni Marcopolo and the rest of the body ni Zhongton 😂😂😂

View attachment 2812364
Hivi we jamaa huaga unajielewa? Tofaut ya muundo wa hiyo na ena ni iPi?
IMG_6028.jpeg
 
That's a fake Marcopolo kijana. China sold a fake bus to your investors 😂😂😂
Fake manake sio engine ya scania fake maana yake nini ???😅😅😁😁😁😁 yani marcopolo aipitishe alaf ww canopy boy useme fake ukimaanisha nn??? Alaf sub scania ndio aziuze alaf iwe fake
 
Yani ww ni vichekesho umesema body is marcopolo engine scania sasa ulitaka body ya china na south africa ziwe sawa ??

Wao wanatengesa body under marcopolo lecense na haziwez kua sawa unavotaka kwenye akili yako

Hii ni moja ya marcopolo from south africa
View attachment 2812392
Kubali mliuziwa Marcopolo fake. There's something called standardization, it means everything has to be similar. Even the subcontractor has to produce a similar product to the original one. Ama unataka nikuonyeshe other Marcopolo buses made in China but is original with standard Marcopolo features? Kwanza hiyo Katarama pia ilinunuliwa second hand and the fleet also contains some fake Marcopolo 😂😂😂
 
Fake manake sio engine ya scania fake maana yake nini ???😅😅😁😁😁😁 yani marcopolo aipitishe alaf ww canopy boy useme fake ukimaanisha nn??? Alaf sub scania ndio aziuze alaf iwe fake
The meaning of fake here is that the bus China sold to Tanzanians didn't follow the standard Marcopolo features for Marcopolo G7 Viagio 1050 buses. That's where fake is coming from. Yani unapewa hybrid ya Zhongton na Marcopolo face and you are celebrating 😂😂😂😪
 
ichoboy01 najua huelewi tofauti ya body builder and chassis builder. Marcopolo is bus body and doesn't relate to Scania. There are MAN Marcopolo, ISUZU Marcopolo, VOLVO Marcopolo, Mercedes Morcopolo etc.

Volvo Marcopolo
1699859591124.jpg


Man Marcopolo
1699859447178.jpg


Mercedes Morcopolo
1699859619458.jpg
 
ichoboy01 najua huelewi tofauti ya body builder and chassis builder. Marcopolo is bus body and doesn't relate to Scania. There are MAN Marcopolo, ISUZU Marcopolo, VOLVO Marcopolo, Mercedes Morcopolo etc.

Volvo Marcopolo
View attachment 2812406

Man Marcopolo
View attachment 2812407

Mercedes Morcopolo
View attachment 2812408
Na mm nakujibu marcopolo iliochina ina license ya kutengeza marcopolo body ndio maana hata bus zao zimeuzwa na sub scania tanzania 😅😅😅😅 ww kinachokuuma sana ni tanzania kuwazidi kwenye kila jambo

Hakuna kitu kinaitwa fake kwenye bus unless hzi hapa 😅😅😅👇👇👇👇👇👇
images - 2023-11-11T200808.360.jpeg
images - 2023-11-11T200814.745.jpeg
 
The meaning of fake here is that the bus China sold to Tanzanians didn't follow the standard Marcopolo features for Marcopolo G7 Viagio 1050 buses. That's where fake is coming from. Yani unapewa hybrid ya Zhongton na Marcopolo face and you are celebrating 😂😂😂😪
Hakuna kitu kinaitwa fake alaf jina official ikatumika marcopolo ambayo ilikozalishwa china kwenye marcopolo assembly 😅😅😅😅

Alaf ikaletwa na sub scania tanzania alaf waiuze wao iitwe fake kwanza leo nimecheka sana eti ours are not fake 😅😅😅😅😅
 
Na mm nakujibu marcopolo iliochina ina license ya kutengeza marcopolo body ndio maana hata bus zao zimeuzwa na sub scania tanzania 😅😅😅😅 ww kinachokuuma sana ni tanzania kuwazidi kwenye kila jambo

Hakuna kitu kinaitwa fake kwenye bus unless hzi hapa 😅😅😅👇👇👇👇👇👇
View attachment 2812413View attachment 2812414
Acha sasa turudi kwa Katarama. I want to show you that it also a fake Marcopolo 😂😂😂.

All Marcopolo writings are usually written just below the windscreen in the middle. Katarama na wao yao haiko, instead wamewekewa the name Scania to confuse them😂😂😂


Compare and Contrast 😂😂

1699861102684.jpg
1699820659502.jpg
1699859619458.jpg
1699862203060.jpg
1699862198183.jpg
1699859447178.jpg
 
Kwa hiyo sababu madirisha ni tofaut unasema ni fake sindio?
Do you know what standardization is? Please look for pictures of Marcopolo G7 Viagio 1050. Utapata all the buses has similar window design. Hizo za Higher na Golden Dragon are only available in Tanzania. Hata China enyewe hutapata those funny looking Marcopolo 😂😂😂
 
Hakuna kitu kinaitwa fake alaf jina official ikatumika marcopolo ambayo ilikozalishwa china kwenye marcopolo assembly 😅😅😅😅

Alaf ikaletwa na sub scania tanzania alaf waiuze wao iitwe fake kwanza leo nimecheka sana eti ours are not fake 😅😅😅😅😅
Hujaiona simu fake with the official brand name?😂😂😂
 
Hakuna kitu kinaitwa fake alaf jina official ikatumika marcopolo ambayo ilikozalishwa china kwenye marcopolo assembly 😅😅😅😅

Alaf ikaletwa na sub scania tanzania alaf waiuze wao iitwe fake kwanza leo nimecheka sana eti ours are not fake 😅😅😅😅😅
Me naona hii battle huyo chizi utabishananae hadi kiama, since ameshaona hawatuwezi likija suala la buses basi anatafuta sababu ili na wao waonekene relevant. Bogozo hilo. 🤣🤣🤣
 
Hujaiona simu fake with the official brand name?😂😂😂
🤣🤣🤣 Mjomba umekula Kichapo cha buses saivi umekuja na excuse za eti Chinese car brands ni cheap, mara ooh car brands tunazonunua ni fake. 🤣🤣🤣Hizo ni ishara za kushindwa. Move on boi.. likija suala la buses sisi sio level yenu. You are at least 30 years behind.
 
Me naona hii battle huyo chizi utabishananae hadi kiama, since ameshaona hawatuwezi likija suala la buses basi anatafuta sababu ili na wao waonekene relevant. Bogozo hilo. 🤣🤣🤣
Huyu mm namjua sana hua anaumia sana tena sana kuhusu tanzania si unaona siku hzi haongelei tena extended canopy tayar dawa ilishamuingia 😅😅😅😅

Eti anahisi marcopolo iliotoka china ni fake ajiulize hapo ulipo spare zote za toyota wanazotumia zinatoka china by 95% na hawezi kubisha 😅😅😅

Iphone zote duniani zinatoka china atuambie kua fake zinatengezwa wap na cheap zinauzwa wapi
 
Back
Top Bottom