Machozi yamekutoka kwa kuumbuliwa hebu ww niambie yale matoroli yote yanabeba nini mjini kama sio maji kupeleka CBD au unabisha ??😅😅😅😅😅😅Kama wewe umekuwa Nairobi utakubali kwamba, hata kama kuna mapungufu, Nairobi ni zaidi ya Dar kwa mengi.
Watanzania mbona unafiki na kujifariji!?
Nicxie umepost hiyo video na inaumbua Dar kuumbua.
Mfano, jamaa hapa kila saa Kenya kuna njaa ila ona vile wanavamia mzungu kumuuliza pesa na chakula 😳 na hapo ni Dar
View attachment 2812268
View attachment 2812270
View attachment 2812274
Eti vumbi Nairobi, ila CBD Dar sasa
View attachment 2812271View attachment 2812272View attachment 2812273
View attachment 2812275
Sasa hii ni nini!? 😳😳😳😳😳😳😳
Huyu mzungu naye!!!!
Sijakataa, but kitu unafaa ujue ni kuwa mabasi mnauziwa kutoka China ni fake.😂😂😂Narudia kukwambia hvi ww hata ugaregare huwez mfikia china kwenye kutengeza bus au kutengeza body za bus mark my words
Dunia nzima sasa hvi inatumia kila kitu kinachotoka china iwe gari iwe spare parts iwe simu iwe technology iwe kitu chochote ndio maaba hata train zenu zinatoka china na ukiangalia manufacturing date utaambia ni 100yrs ago lakini kwasabbau akili zenu zimejaa upepo mukanunua hvo hvo 😁😁😁
Ni vegezo ghan umetumia mpaka ukaja na conclusion kuwa hiyo sio genuine marcopolo?Are these original Marcopolo? Let's start from there. We have Marcopolo, and ours are not fake.
View attachment 2812335
Kazi safiKasarani. Nitawaletea video baadaye jinsi seasons Kasarani imebadilika na Barabara zote kuwekwa lami.
View attachment 2812304
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍Tatu city tunayoijua sisi hii hapa😅😅👇👇
Another big white elephant ina miaka zaidi ya 15 lakini haijawah kufikisha hata 1% of its render na haitokaa kufikisha mpaka dunia itasimama
View attachment 2812332View attachment 2812333View attachment 2812334
Kama somo umeelwa basi ujue china anatengeza chochote na hii hapa aseemhly plant ya marcopolo china 😅😅👇👇
View: https://youtu.be/2qMm5RAnYzU?si=-89LWW_49NCqOn2k
China anatengeneza chochote lakini mabasi wanauzia Tanzania ni fake. Hii ni Marcopolo G7 ya aina gani Sasa? Face ni Marcopolo and the rest of the body ni Zhongton 😂😂😂
View attachment 2812364
Na hii ni ya aina gani ??😅😅😅👇👇👇👇China anatengeneza chochote lakini mabasi wanauzia Tanzania ni fake. Hii ni Marcopolo G7 ya aina gani Sasa? Face ni Marcopolo and the rest of the body ni Zhongton 😂😂😂
View attachment 2812364
😅😅😅😅😅 leo nimecheka sana eti marcopolo fake aloooo🙌🙌🙌🙌🙌China anatengeneza chochote lakini mabasi wanauzia Tanzania ni fake. Hii ni Marcopolo G7 ya aina gani Sasa? Face ni Marcopolo and the rest of the body ni Zhongton 😂😂😂
View attachment 2812364
Look at windows of all the Marcopolo G7 Viagio 1050 alafu ulingamishe ni hii Superfeo😂😅Ni vegezo ghan umetumia mpaka ukaja na conclusion kuwa hiyo sio genuine marcopolo?
Hiyo ni Gemilang generation 2. Yani napingana na mwenye hara hajui types bus bodies😪😪Na hii ni ya aina gani ??😅😅😅👇👇👇👇
View attachment 2812372
Eti eco friendly utafikiri hata hiyo power ya ku pollute Ozone layer wanayo 😂😂😂😂Kwa kweli ichoboy01 naamini maneno yako kunyaland project nyingi white elephant hii hapa modern green bus park eco friendly terminus ukiingia unakutana na hiyo presentation View attachment 2812248View attachment 2812249🤓🤓🤓🤓🤓
Mbona unaleta front view? I'm talking about the side windows 😂😂.
Nacheka sana kuona hio body ilivo yani nyinyi ndio munatengeza original kuliko china leo nimecheka sana 😅😅😅😅😅Hiyo ni Gemilang generation 2. Yani napingana na mwenye hara hajui types bus bodies😪😪
😅😅😅😅😅 leo nimecheka sana eti marcopolo fake aloooo🙌🙌🙌🙌🙌
View: https://twitter.com/SUPERFEOEXPRESS/status/1454114178629840898?t=NE8y_Dp1if1ZCW_VEKzXZw&s=19
View: https://twitter.com/Fundi_machejo/status/1723171491896824276?t=upAFAu3l-KM42nuDkBto6g&s=19
Usijali, Gemilang generation 2 is one of the classic bodies you will ever see. I can remember when Generation 1 was released almost all the big bus companies in Tanzania bought them from Mombasa. Inaonekana hii generation 2 bei iliwalemea kidogo😂😂😂Nacheka sana kuona hio body ilivo yani nyinyi ndio munatengeza original kuliko china leo nimecheka sana 😅😅😅😅😅
Yani ww ni vichekesho umesema body is marcopolo engine scania sasa ulitaka body ya china na south africa ziwe sawa ??Mbona unaleta front view? I'm talking about the side windows 😂😂.
Compare and Contrast.
View attachment 2812378
View attachment 2812380
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usijali, Gemilang generation 2 is one of the classic bodies you will ever see. I can remember when Generation 1 was released almost all the big bus companies in Tanzania bought them from Mombasa. Inaonekana hii generation 2 bei iliwalemea kidogo😂😂😂
View attachment 2812387