Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This city is developing right before our eyes without anyone noticing.
Hata sikuwa na habari ujenzi unaendelea until I saw that post above. Ingekuwa ni Dar, hadi mende za Tandale zingejua na picha zingewekwa hapa kila siku to remind us how developing Dar is
 
Vitu vyao kwenye ujenzi viko low quality.. so wakiweka madirisha makubwa wanapunguza stability ya majengo 😂
Now let's see ujenzi high quality na mazingira masafi kutoka Dar
NB: Hizi zote ni picha za 90s
images - 2023-10-26T133811.445.jpeg
images - 2023-10-26T133828.999.jpeg
image-asset.jpeg
image-asset (1).jpeg
60be108ea3b4b3e91c36bad9_HR1A7649.jpg
60be115ab818fb06c6c166c0_HR1A7653.jpg
60be10e1169dd3b92af7a362_HR1A7629.jpg
Screenshot_20230925-235113_1.jpg
 

Wewe unaishi dunia gani? To begin with, that guy isn't Tanzanian. He's a British national who was born in Tanzania and it's clearly written there.

Back to your stupid question, toka Tandale ujue yanayoendelea duniani. Unajua mtu anaitwa Wangari Mathai?
 
Picha zako hz hz tangu 2017 mpk leo, sisi kila siku tunavumbua ma slums mapya ndani ya Kenya wewe umebaki na picha hz hz ambazo asilimia kubwa kumeshabomolewa kupisha ujenzi ukitoka hapo unaweka apartments zako za kilimani zen developudi kantre ini Isti Afurika 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe unaishi dunia gani? To begin with, that guy isn't Tanzanian. He's a British national who was born in Tanzania and it's clearly written there.

Back to your stupid question, toka Tandale ujue yanayoendelea duniani. Unajua mtu anaitwa Wangari Mathai?
So, aliyezaliwa Tanzania sio mtanzania ila Obama aliyezaliwa USA ni mkenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wallahi wakenya hamna akili, ngoja nikufundishe maana ya uraia, soma hapa chini 👇👇🤣🤣
Screenshot_20231026-155354~2.png
 
Back
Top Bottom