Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkunya mmejaaliwa mioyo ya kibri na dharau
Bora sudani wangekua majirani zetu kuliko nyie 😃😃
Huyu hapa rafiki yangu wa muda ni mchina tena pure anaongea kiswali kuliko hata wakunya anakaa nanjing china ukifika uchina kama vile beijing guanzou etc utapata habari za wabongo kama ulikua huna khabari😃😃View attachment 2792543
Ubaya wenu ni kama nyote mlirogwa kuwa wajinga. Kuwa na Rafiki Mchina, Mzungu, Mwarabu, Mmarekani n.k ni kitu cha kawaida Sana. Hilo halimaanishi nchi yako inatambulika kwa nchi ya huyo Rafiki wako. Huku kunao watu wa nchi tofauti wachina Wajapani Wazungu na wanakiongea Kiswahili na lugha nyinginezo za hapa Kenya. Yani Mchina aache Marekani, Japan, Germany, Australia n.k ajisumbue Na nchi ambayo GDP yake inatoshana na kimji kidogo Tena kisichojulikana.😂😂
Hizi delusions zenu ni kama Nyerere aliwarogea kabla afe.😂😂
 
we ni fala tena fala haswa kwa hio hawa wenye viwanda na branchi za viwanda huku ni wafungwa una haja ya kupata ugali mapema bila shaka.
Ujinga utawaua. Investors na Mchina wa kawaida wapi na wapi? Nitajia nchi moja Afrika yenye haina investors wa China. Your education system is very pathetic.😂
 
Ubaya wenu ni kama nyote mlirogwa kuwa wajinga. Kuwa na Rafiki Mchina, Mzungu, Mwarabu, Mmarekani n.k ni kitu cha kawaida Sana. Hilo halimaanishi nchi yako inatambulika kwa nchi ya huyo Rafiki wako. Huku kunao watu wa nchi tofauti wachina Wajapani Wazungu na wanakiongea Kiswahili na lugha nyinginezo za hapa Kenya. Yani Mchina aache Marekani, Japan, Germany, Australia n.k ajisumbue Na nchi ambayo GDP yake inatoshana na kimji kidogo Tena kisichojulikana.😂😂
Hizi delusions zenu ni kama Nyerere aliwarogea kabla afe.😂😂
We nyumbu mbona mnapenda kuamisha magoli 😃😃😃umeuliza swali ghan mwanzoni? Alafu na zarau Zenu hizi kwanza wewe hapo umewahi kufika nchi yoyote Asia?
Kingine unaijua historia ya far east asia na Tanzania?au unaharisha maneno tu?
 
A museum in Nairobi
20231025_182244.jpg
20231025_185654.jpg
20231025_182318.jpg
20231025_185526.jpg
 
Some of the buses that travel up north. Moyale Garissa Marsabit and Mandera. That is just an example. Company like Liban has about 100 buses. Muhsin has even more. CITY Link Buses are quite luxurious.
images (43).jpeg
images (44).jpeg
images (48).jpeg
images (47).jpeg
images (50).jpeg
images (51).jpeg
images (56).jpeg
images (57).jpeg
images (54).jpeg
images (59).jpeg
images (60).jpeg
 
We nyumbu mbona mnapenda kuamisha magoli 😃😃😃umeuliza swali ghan mwanzoni? Alafu na zarau Zenu hizi kwanza wewe hapo umewahi kufika nchi yoyote Asia?
Kingine unaijua historia ya far east asia na Tanzania?au unaharisha maneno tu?
Nimehamisha Goli kivipi bro? 😂😂And yes, nimewai Fika China
 
Back
Top Bottom