Hawa sijui shuleni kwao walikuwa wanajufunza nini, siwezi kuwalaumu. Hawajui kabisa chochote kuhusu Africa, dnio maana tunapata nao sana tabu kwa sababu ya elimu yao mbovu iliyojikita kwenye kuwapatia vyeti vya kuombea ajira.
hajui kuwa, China-Tanzania diplomatic relation ni somo huko China na Tanzania. Hajui kuwa, Tanzania ndio biggest China's ally in Africa. hajui kuwa, China ilikuwa masikini sana in 1960s na Vinchi vya Africa, ikiwamo Kenya hazikutaka kusikia chochote kuhusu China or any thing Chinese zikiwamo bidhaa zao zote.
Hajui kuwa, Tanzania ndio nchi ya kwanza na pekee Africa kuanzisha uhusiano wa kimataifa na China in 1960s, na hajui kuwa, mradi wa kwanza wa China kujenga nje ya China kwa nchi yeyote duniani haikuwa ASIA, South America or kokote bali Tanzania na ni TAZARA uliojengwa na kampuni ya KIchina "CCECC" na hajui kuwa hili ni somo kubwa huko China tena hasa sasa hivi ambapo wako vizuri.
Hajui kuwa, jeshi letu la maji lilijengwa na China na hajui kuwa baada ya kutusaidia kujenga jeshi la maji, pia China miaka hiyo alitupa Meli za kivita 13. hajui kila mwaka tunasheherekea pamoja uhusiano wetu wa kidiplomasia hapa Tanzania na in China pia.
The list is endless