Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Young africans
images - 2023-10-25T230312.063.jpeg
images - 2023-10-25T230153.981.jpeg










Simba sport club
images - 2023-10-25T230414.985.jpeg
images - 2023-10-25T230453.045.jpeg
images - 2023-10-25T230510.380.jpeg











Azam FC
images - 2023-10-25T230643.774.jpeg
images - 2023-10-25T230635.964.jpeg
images - 2023-10-25T230743.226.jpeg
images - 2023-10-25T230834.536.jpeg











Singida fountain gate
images - 2023-10-25T231000.857.jpeg
images - 2023-10-25T231012.445.jpeg

images - 2023-10-25T231522.070.jpeg











Namungo FC
images - 2023-10-25T231058.112.jpeg

images - 2023-10-25T231250.940.jpeg












Ihefu FC
images - 2023-10-25T231158.052.jpeg
images - 2023-10-25T231153.653.jpeg











Mbeya city
images - 2023-10-25T231349.204.jpeg
images - 2023-10-25T231354.678.jpeg










KMC FC
images - 2023-10-25T231701.680.jpeg












Geita gold FC
images - 2023-10-25T232026.599.jpeg
images - 2023-10-25T231849.074.jpeg
images - 2023-10-25T232034.455.jpeg
images - 2023-10-25T232041.060.jpeg










Kagera sugar FC
images - 2023-10-25T232342.853.jpeg
images - 2023-10-25T232412.768.jpeg










Mtibwa sugar FC
images - 2023-10-25T232535.491.jpeg
images - 2023-10-25T232542.542.jpeg










Dodoma jiji FC
images - 2023-10-25T232708.077.jpeg
images - 2023-10-25T232722.745.jpeg







Vipi niendeleee au ???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
We kima ukibisha bisha kwa hoja.. China amekua mwenetu way back. 👇View attachment 2792397..

Eti Bega kwa Bega.😂😂😂 Watanzania mnakuwanga delusional Sana. Hivi unadhani hata Mchina wa kawaida anaijua Tanzania?😂😂😂

Hawa sijui shuleni kwao walikuwa wanajufunza nini, siwezi kuwalaumu. Hawajui kabisa chochote kuhusu Africa, dnio maana tunapata nao sana tabu kwa sababu ya elimu yao mbovu iliyojikita kwenye kuwapatia vyeti vya kuombea ajira.

hajui kuwa, China-Tanzania diplomatic relation ni somo huko China na Tanzania. Hajui kuwa, Tanzania ndio biggest China's ally in Africa. hajui kuwa, China ilikuwa masikini sana in 1960s na Vinchi vya Africa, ikiwamo Kenya hazikutaka kusikia chochote kuhusu China or any thing Chinese zikiwamo bidhaa zao zote.

Hajui kuwa, Tanzania ndio nchi ya kwanza na pekee Africa kuanzisha uhusiano wa kimataifa na China in 1960s, na hajui kuwa, mradi wa kwanza wa China kujenga nje ya China kwa nchi yeyote duniani haikuwa ASIA, South America or kokote bali Tanzania na ni TAZARA uliojengwa na kampuni ya KIchina "CCECC" na hajui kuwa hili ni somo kubwa huko China tena hasa sasa hivi ambapo wako vizuri.

Hajui kuwa, jeshi letu la maji lilijengwa na China na hajui kuwa baada ya kutusaidia kujenga jeshi la maji, pia China miaka hiyo alitupa Meli za kivita 13. hajui kila mwaka tunasheherekea pamoja uhusiano wetu wa kidiplomasia hapa Tanzania na in China pia.

The list is endless
 
Hawa sijui shuleni kwao walikuwa wanajufunza nini, siwezi kuwalaumu. Hawajui kabisa chochote kuhusu Africa, dnio maana tunapata nao sana tabu kwa sababu ya elimu yao mbovu iliyojikita kwenye kuwapatia vyeti vya kuombea ajira.

hajui kuwa, China-Tanzania diplomatic relation ni somo huko China na Tanzania. Hajui kuwa, Tanzania ndio biggest China's ally in Africa. hajui kuwa, China ilikuwa masikini sana in 1960s na Vinchi vya Africa, ikiwamo Kenya hazikutaka kusikia chochote kuhusu China or any thing Chinese zikiwamo bidhaa zao zote.

Hajui kuwa, Tanzania ndio nchi ya kwanza na pekee kuanzisha uhusiano wa kimataifa na China in 1960s, na hajui kuwa, mradi wa kwanza wa China kujenga nje ya China kwa nchi yeyote duniani haikuwa ASIA, South America or kokote bali Tanzania na ni TAZARA uliojengwa na kampuni ya KIchina "CCECC" na hajui kuwa hili ni somo kubwa huko China tena hasa sasa hivi ambapo wako vizuri.

Hajui kuwa, jeshi letu la maji lilijengwa na China na hajui kuwa baada ya kutusaidia kujenga jeshi la maji, pia China miaka hiyo alitupa Meli za kivita 13. hajui kila mwaka tunasheherekea pamoja uhusiano wetu wa kidiplomasia hapa Tanzania na in China pia?

The list is endless
Aise inatosha. Umeua nzi kwa nyundo. Akishindwa kuelewa hapo ndio basi tena.
 
Aise inatosha. Umeua nzi kwa nyundo. Akishindwa kuelewa hapo ndio basi tena.
Ni mengi sana wamefanya kwa Tanzania kuliko nchi yeyote. Nchi zote za Africa hazikutaka kusikia kuhusu China, wengi wao walijikita USA na western countries. Sisi ndio tulio kuwa tukitumia bidhaa zao za Kichina zilizokuwa zikizarauliwa ulimwenguni.

Sisi ndio tulikuwa tukizipaisha bidhaa za China kama silaha zao kwenye vita vingi hapa Africa na hivyo kuleta imani ya bidhaa zao baada ya ushindi wa vita nyingi. Wao ndio wameinstall makombora makubwa huko baharini miaka ya 1960 na kujenga karakana kubwa. mambo ni mengi mwana.
 
Huu upuzi alikuwa nao Uhuru tena Ruto naona anao. Kibaki hakuwa na huu upuzi wa kuzururazurura. Ila nanyi mibongolala hapo kwenu mnaye mtalii yet badala ya media zenu kumzomea zinamsifusifu eti ooh anaimarisha tourism mara analeta investments blah blah.
Acha ufala wewe,Rais Wetu akisafiri automatically utamkuta kwenye majukwaa ya biashara na mikataba na sio vinginevyo.

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1717186187889127533?t=yAcE1G_tNGPBa6F49fi2QA&s=19

Samia Huwa hafanyi ziara za kisengerema kama Za Ruto

Hii Kasesya Zombie ni boder post upande wa Rukwa na tayari Kuna Barabara ya lami inajengwa huko

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1717194731317301580?t=-rXhfWN_s6p-XKtuVIZ-UA&s=19
 
Acha ufala wewe,Rais Wetu akisafiri automatically utamkuta kwenye majukwaa ya biashara na mikataba na sio vinginevyo.

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1717186187889127533?t=yAcE1G_tNGPBa6F49fi2QA&s=19

Samia Huwa hafanyi ziara za kisengerema kama Za Ruto

Hii Kasesya Zombie ni boder post upande wa Rukwa na tayari Kuna Barabara ya lami inajengwa huko

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1717194731317301580?t=-rXhfWN_s6p-XKtuVIZ-UA&s=19

You're the typical difference between Kenyans and Tanzanians.
 
Back
Top Bottom