Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unatulazimisha tuwe na marafiki wa kibepari wakati wajamaa wenzetu tulikuwa nao toka kitambo bega kwa bega acha tuwaungishe standard zao zimekuwa well huyo mmarekani tuu kaenda kjifunza namna ev zinavyozalishwa kwa wingi.
Eti Bega kwa Bega.😂😂😂 Watanzania mnakuwanga delusional Sana. Hivi unadhani hata Mchina wa kawaida anaijua Tanzania?😂😂😂
 
Eti Bega kwa Bega.😂😂😂 Watanzania mnakuwanga delusional Sana. Hivi unadhani hata Mchina wa kawaida anaijua Tanzania?😂😂😂
We kima ukibisha bisha kwa hoja.. China amekua mwenetu way back. 👇
Screenshot_20231025-153304_1.jpg
..
 
Eti Bega kwa Bega.😂😂😂 Watanzania mnakuwanga delusional Sana. Hivi unadhani hata Mchina wa kawaida anaijua Tanzania?😂😂😂
Kwnn asiijue wakati anaisoma darasani, mchina wa kawaida anaweza asiijue Kenya lkn sio Tanzania, ipo kwenye historia yao kule na pia kiswahili kimeenea sana china, watoto wanajifunza na wanaambiwa kinatokea Tanzania.
 
njoo huku kariakoo uone tunavyoishi nao wapo kibao hata huko china tushawafunza kiswahili yukienda kujumua mali.
Wachana na hao wanaoishi huko ni interns Na prisoners wameletwa rehabilitation, Mchina wa kawaida hajui Tanzania ni nini.
 
Eti Bega kwa Bega.😂😂😂 Watanzania mnakuwanga delusional Sana. Hivi unadhani hata Mchina wa kawaida anaijua Tanzania?😂😂😂
Mkunya mmejaaliwa mioyo ya kibri na dharau
Bora sudani wangekua majirani zetu kuliko nyie 😃😃
Huyu hapa rafiki yangu wa muda ni mchina tena pure anaongea kiswali kuliko hata wakunya anakaa nanjing china ukifika uchina kama vile beijing guanzou etc utapata habari za wabongo kama ulikua huna khabari😃😃
IMG_2245.jpeg
 
Back
Top Bottom