Ulifika mji ghan na street ghan?Nimehamisha Goli kivipi bro? 😂😂And yes, nimewai Fika China
Ni muda mrefu sana sijapita humu!!
wacha nianze na kujibu huyu zwazwa..,
1. Public transport sio wingi wa mabasi kilaza.., infrastructure hampo.., kipande kidogo cha BRT pale Dar ukilinganisha na ukubwa sio sufficient, haitoshi, mnarundikwa ndani kama makondoo kila jioni kwa vile ni duni.., hapa unajitekenya., Dar bado, BRT isikudanganye.., eti infrastructure, train coverage iko vipi? expressway je? Superhighway? bypasses? ring roads? boss amka 😂 😂 😂 😂 😂 😂
2. Sports: medali ngapi wana spoti wenu wameletea Tanzania? na kuna watanzania wangapi kwa hizi sports?: kwa mfano Rugby? Athletics? Valleyball?, Football?(mnafanyaje kule nje?) Tennis je? Hockey? Cricket? Motor Sport?.., mbwembwe za Simba na Yanga na stadium moja ya maana taifa nzima zimekudanganya unadhani mko na sports, idiot😂😂😂😂😂😂😂..,
3. Food, Agriculture and delivery.., yaani mahindi kwa wingi ndio food?.., nyie ni watu wa mihogo na maharage kule vijijini, utapia mlo ndio wimbo.., tusipo nunua ufukara unasambaa zaidi vijijini.., boss danganya wasio ijua Tanzania.., leo hii Kenya imevuna kwa wingi sijui mtauza mazao yenu wapi, more ufukara loading😂😂😂😂😂😂😂😂, Agriculture isio na faida kwa taifa, ni cartels na wakenya wajanja wanafaidika kuliko mkulima wa Tanzania, watu hovyo nyie😂😂😂😂😂
4. Women, night life: hao washamba on average ndio unasema women?.., night life ipi? uliza wageni wanao fanya utalii kwa hizi nchi mbili utapata jibu.., ata Uganda imewashinda.., pengine mjikaze kwa utalii, hapo kidogo mnajaribu.,
5. Health and Delivery.., hapa hauhitaji nabii akwambie, Magufuli alikufia Kenya., period., viongozi wenu na matajiri wanatafuta matibabu ya hali ya juu Nairobi.., muhimbili ni ya panadol na family planning services.., nyambaff😂😂😂😂
6. Tourism: Kidogo mnajaribu...,
7. Militrary: kawaulize child soldiers wa DRC, panga boys.., kwa sasa ata Rwanda na Uganda hamuwawezi.., tulia kwa kelele za Simba na Yanga, mengine ambayo hauwelewi koma..,
taja mengine tuone...,
Ni salamu tu sina ubaya, mda mrefu, uhali gani?
Unajihangaisha bure kujitetea, ila sasa Elika kitu ni bayana , hapo kwa public transport ona wenzako wanavyonena kwa LughaNi muda mrefu sana sijapita humu!!
wacha nianze na kujibu huyu zwazwa..,
1. Public transport sio wingi wa mabasi kilaza.., infrastructure hampo.., kipande kidogo cha BRT pale Dar ukilinganisha na ukubwa sio sufficient, haitoshi, mnarundikwa ndani kama makondoo kila jioni kwa vile ni duni.., hapa unajitekenya., Dar bado, BRT isikudanganye.., eti infrastructure, train coverage iko vipi? expressway je? Superhighway? bypasses? ring roads? boss amka 😂 😂 😂 😂 😂 😂
2. Sports: medali ngapi wana spoti wenu wameletea Tanzania? na kuna watanzania wangapi kwa hizi sports?: kwa mfano Rugby? Athletics? Valleyball?, Football?(mnafanyaje kule nje?) Tennis je? Hockey? Cricket? Motor Sport?.., mbwembwe za Simba na Yanga na stadium moja ya maana taifa nzima zimekudanganya unadhani mko na sports, idiot😂😂😂😂😂😂😂..,
3. Food, Agriculture and delivery.., yaani mahindi kwa wingi ndio food?.., nyie ni watu wa mihogo na maharage kule vijijini, utapia mlo ndio wimbo.., tusipo nunua ufukara unasambaa zaidi vijijini.., boss danganya wasio ijua Tanzania.., leo hii Kenya imevuna kwa wingi sijui mtauza mazao yenu wapi, more ufukara loading😂😂😂😂😂😂😂😂, Agriculture isio na faida kwa taifa, ni cartels na wakenya wajanja wanafaidika kuliko mkulima wa Tanzania, watu hovyo nyie😂😂😂😂😂
4. Women, night life: hao washamba on average ndio unasema women?.., night life ipi? uliza wageni wanao fanya utalii kwa hizi nchi mbili utapata jibu.., ata Uganda imewashinda.., pengine mjikaze kwa utalii, hapo kidogo mnajaribu.,
5. Health and Delivery.., hapa hauhitaji nabii akwambie, Magufuli alikufia Kenya., period., viongozi wenu na matajiri wanatafuta matibabu ya hali ya juu Nairobi.., muhimbili ni ya panadol na family planning services.., nyambaff😂😂😂😂
6. Tourism: Kidogo mnajaribu...,
7. Militrary: kawaulize child soldiers wa DRC, panga boys.., kwa sasa ata Rwanda na Uganda hamuwawezi.., tulia kwa kelele za Simba na Yanga, mengine ambayo hauwelewi koma..,
taja mengine tuone...,
Ni salamu tu sina ubaya, mda mrefu, uhali gani?
Ikiwa znz int airport ina handle almost 2m now unaota bado 2m kwa dar🤣🤣🤣🤣Mwisho wa mwaka 2million Passengers!!!
I'm not in the business of proving myself to you especially considering unataka kukwepa nilipokushika makende.Ulifika mji ghan na street ghan?
Nguo anazovaa Ruto, ni maagizo ya Mganga au?
Ameenda tena kuembeza bakuli wapi mara hii ? Ikumbukwe siku majuzi hapa ameenda kutembeza bakuli kwa wacomunisti uchina bwana Wiliam Loot-all amerudi mikono mitupu,Ruto speaking at Future Investment Forum. We have a president who is well informed. He is doing a campaign around the world, to bring Kenya to the world table.
View attachment 2791621View attachment 2791623View attachment 2791624View attachment 2791625
Mikunya tumewazoea muongopeane wenyewe huko mabalozi wa uongo muwe na heshima sisi sio level yenu.I'm not in the business of proving myself to you especially considering unataka kukwepa nilipokushika makende.
Unajihangaisha bure kujitetea, ila sasa Elika kitu ni bayana , hapo kwa public transport ona wenzako wanavyonena kwa Lugha
View: https://x.com/maliks_88/status/1716316061530747274?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
Mimi huyo jiji la Qingdao. Usidhani wakenya malengelenge kama Wabongo.Mikunya tumewazoea muongopeane wenyewe huko mabalozi wa uongo muwe na heshima sisi sio level yenu.
Nafikiri wenye akili wamepata somo
Roads r good huku barabara imefunikwa na tope?Today, raining heavily in Marsabit. Goodness, the roads are good. And the buses are beautiful View attachment 2792681View attachment 2792682
Nakukumbusha tu kwa tahadhari kwenye maneno elfu 1 chukua moja uende ukalitafakari kabla hujalala🤣🤣🤣🤣Mikunya tumewazoea muongopeane wenyewe huko mabalozi wa uongo muwe na heshima sisi sio level yenu.
Nafikiri wenye akili wamepata somo
Mzee una hips na rasa!Mimi huyo jiji la Qingdao. Usidhani wakenya malengelenge kama Wabongo.
View attachment 2792731
View attachment 2792730
Oooh we are leading on ICT in the entire region sijui nyenyenye kumbe ushuzi tu……..VIBERA bhana😂😂😂
Asee...
Ama kweli hawa majamaa wamezidi tu kwenye kuongea uongo kwa kiingereza kwenye dunia/media za wazungu..
ila kiuhalisia kenya wako nyuma sana kama South Sudan
Kwahiyo, kichwa chako kinakuambia kabisa kuwa in 2032 tutapata trillion 26 kutokana na uwekezaji wa DP World wa $250 Million in five years?Sina uhakika kama ishu ni pesa au urasimu au Kuna mengineView attachment 2791898
Aisee imenikumbusha nchi fulani bro naamini tuna uwezoHapa Naona Posta Ikienda kupendeza
View attachment 2792611
Shabana collected several millions at Raila Odinga Stadium in HomaBay over the weekend
View attachment 2791919
Uwezo gani wakati jii lenu ni uswazi kushoto kuliaAisee imenikumbusha nchi fulani bro naamini tuna uwezo View attachment 2792746View attachment 2792747View attachment 2792752View attachment 2792753View attachment 2792754View attachment 2792755View attachment 2792759