Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya to the world. Olunga scores past Ronaldo
20231025_063141.jpg
20231025_063205.jpg
 
Shabana collected several millions at Raila Odinga Stadium in HomaBay over the weekend
img_4_1698165472413.jpg
 
five years $250 million dollars investment? yaani $50 million kwa mwaka ndio imetushinda kuinvest hapo?
Ni changamoto kidogo siku tukivunja mkataba tutaambiwa tulipe e dollar mil200$.Angola waliwapa Gati moja kwa miaka 20 kwa investment value ya Dollar mil 190$.Sisi tumewapa 4terminal mill 250$ je yupi mjanja kati yetu na Angola?
 

Dah nimecheka sana, ila on a serious note hawa jamaa inabidi tuwachape vibao labda ndio watakuwa na akili, yaani kila kitu wanatuaibisha tu East Afrika…….huyu jamaa hayumo humu kweli? Unahisi anaweza kuwa nani?

Anyways, official name ya hawa jamaa zetu kuanzia leo ni VIBERA au unasemaje Mwenyekiti ichoboy01???

VIBERA WAKUBWA HAWA……….😂😂😂😂
 

Sisi Watanzania tuko objective tunaanza kwa kuimarisha misingi ya uchumi kwanza as a precursor for economic development wao sasa wanaanza na kujenga roof on shaky base lazima jengo lianguke tuu hamna namna na sio sustainable. A big economic meltdown is on the way wanasiasa wao wanajua hili lakini wanawaficha hawawaambii ukweli.
 
Ni muda mrefu sana sijapita humu!!
wacha nianze na kujibu huyu zwazwa..,
1. Public transport sio wingi wa mabasi kilaza.., infrastructure hampo.., kipande kidogo cha BRT pale Dar ukilinganisha na ukubwa sio sufficient, haitoshi, mnarundikwa ndani kama makondoo kila jioni kwa vile ni duni.., hapa unajitekenya., Dar bado, BRT isikudanganye.., eti infrastructure, train coverage iko vipi? expressway je? Superhighway? bypasses? ring roads? boss amka 😂 😂 😂 😂 😂 😂

2. Sports: medali ngapi wana spoti wenu wameletea Tanzania? na kuna watanzania wangapi kwa hizi sports?: kwa mfano Rugby? Athletics? Valleyball?, Football?(mnafanyaje kule nje?) Tennis je? Hockey? Cricket? Motor Sport?.., mbwembwe za Simba na Yanga na stadium moja ya maana taifa nzima zimekudanganya unadhani mko na sports, idiot😂😂😂😂😂😂😂..,
3. Food, Agriculture and delivery.., yaani mahindi kwa wingi ndio food?.., nyie ni watu wa mihogo na maharage kule vijijini, utapia mlo ndio wimbo.., tusipo nunua ufukara unasambaa zaidi vijijini.., boss danganya wasio ijua Tanzania.., leo hii Kenya imevuna kwa wingi sijui mtauza mazao yenu wapi, more ufukara loading😂😂😂😂😂😂😂😂, Agriculture isio na faida kwa taifa, ni cartels na wakenya wajanja wanafaidika kuliko mkulima wa Tanzania, watu hovyo nyie😂😂😂😂😂

4. Women, night life: hao washamba on average ndio unasema women?.., night life ipi? uliza wageni wanao fanya utalii kwa hizi nchi mbili utapata jibu.., ata Uganda imewashinda.., pengine mjikaze kwa utalii, hapo kidogo mnajaribu.,

5. Health and Delivery.., hapa hauhitaji nabii akwambie, Magufuli alikufia Kenya., period., viongozi wenu na matajiri wanatafuta matibabu ya hali ya juu Nairobi.., muhimbili ni ya panadol na family planning services.., nyambaff😂😂😂😂
6. Tourism: Kidogo mnajaribu...,

7. Militrary: kawaulize child soldiers wa DRC, panga boys.., kwa sasa ata Rwanda na Uganda hamuwawezi.., tulia kwa kelele za Simba na Yanga, mengine ambayo hauwelewi koma..,

taja mengine tuone...,
Ni salamu tu sina ubaya, mda mrefu, uhali gani?
Unaongea kwa uchungu sana pole!
 
Wapi SGR ya UMEME Dar to Moro? .., imeanza kazi? nimengoja tag lakini wapi? Sama boy 255 kulikoni? The best 007 vipi?.., 2023 ndio hii inaisha! bado hamjawai kupanda an SGR train!.., tokea April 2017 hadi wa leo!!! 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nimekuwa nikisubiri train hapa malaba tangu 2013 lakini wapi imebidi nioe hukuhuku na nijenge kibanda cha kukaa kusubiria train na sasa nimepata watoto 4 bado naendelea kusubiri treni ya esjiaraa ifike.
 
Ni changamoto kidogo siku tukivunja mkataba tutaambiwa tulipe e dollar mil200$.Angola waliwapa Gati moja kwa miaka 20 kwa investment value ya Dollar mil 190$.Sisi tumewapa 4terminal mill 250$ je yupi mjanja kati yetu na Angola?
Gati zetu zote zimeshafanyiwa modernization na dredging imefanyinka kwenye habour kwahiyo mwekezaji hana kazi kubwa ya kufanya sana sana hiyo hela ataongeza vifaa na mifumo mizuri ya logistics
 
Eldoret Express bado zinafanya kazi!?
Kitambo kuziona. Hiyo kampuni ilikuwa na mabasi karibu elfu moja, na kina Akamba bases.
Siku hizi Kenya tuko kwa hizi
Tanzania bado hamjafika. Jitahidi.
View attachment 2790568View attachment 2790571
We kima wa chini acha kujitoa ufaham hii hapa nimepiga tena kwa simu yangu 😃😃😃😃😃wengine tupo ground tunawasikilizia ma professor wa uongo 😄😄
Muwe mnawadanganya ambao hawajafika kunyaland.
Kwenye issue ya usafiri wa mabasi Tanzania inaongoza.
IMG_5654.jpeg
IMG_5653.jpeg
IMG_5652.jpeg
IMG_5651.jpeg
IMG_5650.jpeg
 
We kima wa chini acha kujitoa ufaham hii hapa nimepiga tena kwa simu yangu 😃😃😃😃😃wengine tupo ground tunawasikilizia ma professor wa uongo 😄😄
Muwe mnawadanganya ambao hawajafika kunyaland.
Kwenye issue ya usafiri wa mabasi Tanzania inaongoza.
View attachment 2792108View attachment 2792109View attachment 2792111View attachment 2792112View attachment 2792113
Hivi hayo maghorofa yao ni vipi? Waligombana na madirisha au tuseme huko ni baridi sana mpaka wanaweka madirisha ya namna hiyo?!
Yapo low quality sana na mazingira ni machafu mno.
 
Back
Top Bottom