Pwani ya Kenya inanoga
Pwani ya Kenya inanoga
Issue sio Joho kuja Tz issue ni Joho kushabikia Yanga, na sio Joho tu wakenya wengi wanashabikia Simba na Yanga including you, hakuna mtanzania anashabikia timu zingine za East Afrika ukiacha Simba au Yanga, 99% ya watanzania hawazijui timu za East Afrika ukiacha za Tanzania.Joho ana pesa ya kutembea popote atakako. Kabla aje Bongo alikuwa marekani na anajulikana kutalii nchi mbalimbali. Wewe huwezi kuja Kenya sio eti hutaki Bali huna pesa. Inferiority complex isikufanye ujione special Dogo.
Cc NairobiWalker bila shaka wewe utakuwa ni Yanga 🤣🤣🤣🤣🤣Wacha niende zangu nimalize kuona mechi ya Simba na Al Ahly.., Simba lazime ashinde.., utani kando., ndio team yangu tokea zamani kabla nijue kuna jamii forums.., entertainmnent zone..,
Simba na Yanga zinaenda kuwa ‘dini’ mpya za East and Southern Afrika, Yanga tumeanza kwa kuwa na matawi DRC na Rwanda, hapo Kenya ni suala la kwenda kuofficiate tu, fans wapo kibao. Juzi hadi Boss wa TP Mazembe kavaa jezi ya Simba and he was so proud of it, sasa tutahakikisha tunawasilimisha watu wote ukanda huu watake wasitake. Sisi ndio baba zao, nani anabisha?Issue sio Joho kuja Tz issue ni Joho kushabikia Yanga, na sio Joho tu wakenya wengi wanashabikia Simba na Yanga including you, hakuna mtanzania anashabikia timu zingine za East Afrika ukiacha Simba au Yanga, 99% ya watanzania hawazijui timu za East Afrika ukiacha za Tanzania.
Mambo tulifanya miaka ya 60 mnafanya leo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Even Marsabit is developing a Stadium
View attachment 2791639
Timu zenu zina umaskini mkubwa sn aisee.Kericho Green Stadium has become home for the 2 Tier NSL side Zoo Kericho
View attachment 2791640
Hii kitu imeanzia Magogoni, inapiga mpaka Ocean Road Hosp, inasonga mpaka Ohio huko kupitia JNICC. Before na After ni muhimu sana kwa hawa jamaa zetu na vizazi vijavyo, na hapo bado BRT na DMDP haijafumua roads kadhaa za downtown.Hapa ndio nilisema jana pameanza kuwekwa vizuri, Baada ya Siku kadhaa baada ya hivi pavement kutandikwa vizuri ntarudi kupiga picha za maana 😎
Unaona huu mzigo wa Pavement blocks?
View attachment 2791555
View attachment 2791559
View attachment 2791561
Kenyans are adopting the A frame houses in villages. I don't know if they are good or bad.
View attachment 2791630View attachment 2791633View attachment 2791634View attachment 2791636
Umesahau kuongeza ''Kama ulaya mwanangu" 😂 😂
Asilimia kubwa zinatumika kwa ajili ya Air BNB na Tanzania zipo nyingi pia.Zipo nyingi tu
View attachment 2791697
Hapa ndipo mnatuzidi, shobo. Sisi watanzania hatuna shobo za kisenge kama hizi.King is coming to Kenya
View attachment 2791654
Maumivu ya wivu 🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1716460065039806707?t=AvL5Ey9MNcnB2ygBB3-zTQ&s=19
Mtaweweseka sana baad ya DP kutia timu
View: https://twitter.com/BD_Africa/status/1716439339884839310?t=x_FikEqKSQG3Wb8XQoMiRg&s=19
Pumbavu sana hii kima! hii sio blog ya habari, aache kupost post ujinga humu.Ukiambiwa huna akili, ukubali!
Yan unapost chochote tu unachokiona bila kujiongeza akili
View attachment 2790959
Sina uhakika kama ishu ni pesa au urasimu au Kuna menginefive years $250 million dollars investment? yaani $50 million kwa mwaka ndio imetushinda kuinvest hapo?
Mh nyumba za namna hii yaana mabati kama Ukuta Bongo na joto letu ni kujitesa kwa kuishi ndani ya tanuru! Ni sawa na vijumba vya Polisi vya mambaati kule Nairobi!Zipo nyingi tu
View attachment 2791697
Nani kakwambia ujenge hivo? Inferiority complex.Mh nyumba za namna hii yaana mabati kama Ukuta Bongo na joto letu ni kujitesa kwa kuishi ndani ya tanuru! Ni sawa na vijumba vya Polivier vya mambaati kule Nairobi