Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndoto za mchana.Hakuna uchumi wa hivyo
Kwanza mfuko wao wa social security fund ni mmoja tu ambao ndio huo wa private sector na government sector

Screenshot_20230814-180316.jpg


Pamoja na hivyo bado una pesa ndogo sana ukilinganisha na idadi yote ya wachangiaji kutoka sector za umma na binafsi kwa PAMOJA,
Screenshot_20230814-175449.jpg
Screenshot_20230814-175512.jpg


Wana jumla ya trillion 6 tu kwa mfuko wa sectors zote wakati Tanzania, mfuko mmoja tu wa PSSSF una trillion 9 na huu ni mfuko wa serikalini ambao hauna wanachama wengi kama NSSF mfuko wa private sector, Kunyaland ina kawaida ya ku fake data sana ila akili za kufake ndio hawana

Screenshot_20230814-180213.jpg
 
Haya hebu tuoneshe ni kipi cha maana kwenye video hii au kaonesha kitu gani very special ??😅😅😅 yani ni vichekesho vya kila siku tu

Ngoja ufunzwe.
For a country where this is the definition of upper middle class, you really should consider sitting this one out. 🤣 🤣 🤣

mido.JPG


mido1.JPG
 
Ethiopia imekua nchi ya hovyo sana, ukabila haujawahi kuiacha nchi yoyote salama," Kenya is next".
 
Only 6% of Nairobi looks like this. 80% of Dar looks like the photo I posted.

Maliza hawa slum dwealers. 😂 😂
Dar is Slum needs to be levelled in its entirely, waanza kujenga na plan.
When you look at their aerial views, it looks like it was every man for himself. Build wherever you want,
 
Ngoja ufunzwe.
For a country where this is the definition of upper middle class, you really should consider sitting this one out. 🤣 🤣 🤣

View attachment 2717294

View attachment 2717295
Nani amekwambia hizo takataka umepost ni uper middle class.? Picha ya chini uliyoweka hayo ndio makazi ya mtanzania maskini kabisa. Picha ya juu ni mtanzania mwenye kipato cha kati cha chini. Lower middle class. Na nyumba za hivyo ndio nyingi zaidi Tz kwasasa kuliko kitu chochote
 


Juu huwa mnasema Nairobi hupata all the infrastructure developments, hizo rural roads za Kenya umeziona aje?
Mind you this was filmed before the new and shinny 84 km dual carriage that passes the same route.

In most African countries, all these would be considered 'Grade A' roads, reserved for big cities.
 
South C ni lislum kwa standard za kimataifa ni hivyo tu Africa tupo nyuma bado, limeparara though kama vingunguti
View attachment 2715649

Mzee vumilia.

Bellevue Park - 5 Blocks of 19 Floors Each​

New project coming up in South C. (Under Construction)


s1.JPG
s2.JPG
s3.JPG
s4.JPG
 
South C ni lislum kwa standard za kimataifa ni hivyo tu Africa tupo nyuma bado, limeparara though kama vingunguti
View attachment 2715649

Mzee utakoma kuleta picha za 2005

South C, Nairobi.
More highrises under construction than the whole of Dar.
Of course you can prove me wrong by posting a video of a Dar estate with equivalent number of mega constructions.

 
Back
Top Bottom