Hatuendi na mama 2025.
Haijaisha Hadi imekwisha,kwanza Mimi ndio ningekuwa SSH ni die or live, yaani JK kwenye Mkutano live kabisa anaongea blaa blaa aah wapi ningetumia huo ukaribu wangu nae kumfix kama kina Compare na Sankala unless niwe sina nia ya kuendelea.Huwa inafurahisha sana kuona watu kama kijana wangu ChoiceVariable wanadhan mama ataendelea kuwa Rais 😀.. nilishasema mara nyingi tu.. ikifika 2025 nitawakumbusha
25 kesho tu Mzee kwani mama atakuwa amefikisha miaka mingapi.akiwa na energy ataendelea mkuu.Huwa inafurahisha sana kuona watu kama kijana wangu ChoiceVariable wanadhan mama ataendelea kuwa Rais 😀.. nilishasema mara nyingi tu.. ikifika 2025 nitawakumbusha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao kina Simon na kundi lake la sukuma gang Wana chuki sana Sasa ni hivi vita ni vita muraa,Mimi Nasubiria nione mwisho.25 kesho tu Mzee kwani mama atakuwa amefikisha miaka mingapi.akiwa na energy ataendelea mkuu.
wacha upuuzi wa conspiracy theories!Unataka evidence ya vaccine injuries au ya agenda ya covid action platform?
Kama troponin level kwenye damu yako iko juu au umeambiwa una myocarditis/pericarditis usinikaririke mimi.wacha upuuzi wa conspiracy theories!
Kuna mtu kacomment ukweli hapo...kuwa wanatafuta attention na views....
That one must be a Tanzanian, probably from this thread. 95% of the comments including those from SA are positive. Sema tu unaumwa kusikia Kenya ikiwa appreciated.Kuna mtu kacomment ukweli hapo...kuwa wanatafuta attention na views....
Comparison zao ni zs kijinga...hiv unaweza compare Kenya na south kweli?
Mind you this is south Africa.....That one must be a Tanzanian, probably from this thread. 95% of the comments including those from SA are positive. Sema tu unaumwa kusikia Kenya ikiwa appreciated.
Tanzania ndo ya kujifunza kwenye barabaraWakunya Njooni mjifunze ujenzi wa Barabara mitaani ndani ndani huko,kazi nzuri ya Tarura