Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Huyu "musee" hayui hata maana ya maendeleo?Inahitajika mtu awe mwehu haswaa ndio aelewe upuuzi ulioandika. Unaijua Tanga.?
Huyu "musee" hayui hata maana ya maendeleo?Inahitajika mtu awe mwehu haswaa ndio aelewe upuuzi ulioandika. Unaijua Tanga.?
Trolling kivp? si ueleze amefanya nn? Huyo bwn Schwab unayemlaumu?Trolling? You're too old for this.
Delegation, my bad.
Na laumu genge hilo kina Schwab kwa kuja na agenda kama ya the great reset.Trolling vp si ueleze amefanya nn? Huyo bwn Schwab unayemlaumu?
Only 6% of Nairobi looks like this. 80% of Dar looks like the photo I posted.
You need to travel...even Iringa Municipality is better than this...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yaani Mbunge wa EA asijue delegation inayokwenda kuonana na rais wa nchi mwanachama wa EA? BTW sijui kwa nini aliweka hako ka video?
Tatizo ni mwenye mbwa.Nilishasema mwanzo na Nasema tena ,
Nampenda sana Mama Samia, toka moyoni Mwangu. Lakini nafasi hii ni kubwa sana kwake. Tumvumilie na tumwombee atimize takwa la kikatiba,
2025 Mungu atatupa mtu sahihi.
Hebu tueleze hiyo great reset imefanya nn kwetu?Na laumu genge hilo kina Schwab kwa kuja na agenda kama ya the great reset.
Hatuendi na mama 2025.Tatizo ni mwenye mbwa.
Moja ya agenda ya Great Reset in "covid action platform" ambayo ndiyo iliyotuletea "chanjo za corona" (mNRA) Tanzania, ambazo zimeharibu afya za waliochanja.Hebu tueleze hiyo great reset imefanya nn kwetu?
Evidence?Moja ya agenda ya Great Reset in "covid action platform" ambayo ndiyo iliyotuletea "chanjo za corona" (mNRA) Tanzania, ambazo zimeharibu afya za waliochanja.
Huwa inafurahisha sana kuona watu kama kijana wangu ChoiceVariable wanadhan mama ataendelea kuwa Rais 😀.. nilishasema mara nyingi tu.. ikifika 2025 nitawakumbushaNilishasema mwanzo na Nasema tena ,
Nampenda sana Mama Samia, toka moyoni Mwangu. Lakini nafasi hii ni kubwa sana kwake. Tumvumilie na tumwombee atimize takwa la kikatiba,
2025 Mungu atatupa mtu sahihi.
Fixed 😂Kundustanians only own Poverty and Sifa.
Unataka evidence ya vaccine injuries au ya agenda ya covid action platform?Evidence?