mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,447
- 4,953
Wanapenda kupinga yet every non Kenyan non Tanzanian anawaambia ukweli![]()
wanapenda kuishi in denial sanaWanapenda kupinga yet every non Kenyan non Tanzanian anawaambia ukweli![]()
wanapenda kuishi in denial sanaI know south Africa. Watch the video before you comment. Usijibu kwa ubishi na chuki.
Hizo nyumba za village pale Bongo hata mjini kuzipata ni mtihani.🤣Tanzania ndo ya kujifunza kwenye barabaraView attachment 2716955
Hvi ww unafkiri ni kutu gani unaweza kutudanganya sisi ?? Unacho cha kutudanganya ??😅😅😅wanapenda kuishi in denial sana
Hizi ni highway Mimi nimekupa street roads ,acha blaa blaa hatuna Cha kujifunza huko KunyalandTanzania ndo ya kujifunza kwenye barabaraView attachment 2716955
Huyu ndio huyo mzungu? 🤣🤣🤣Mzungu akiwekeza Tz alafu awekeze Kenya Tena unachukulia ni sofa kwenu?
Mbona ndio trendy ya Youtubers wengi recently hasa Nigerians 🤣🤣 utashangaa wanaweka headlines za 'culture shock between Kenya and Nigeria' wanaitukana Nigeria weee na kuisifia Kunyaland kama ulaya for the sake of views na kukuza accounts zao sababu wanajua mashakahola ukiyasifia tu mambo ya uongo yanaitana kama manyumbu na kusubscribe channel yako 🤣Kuna mtu kacomment ukweli hapo...kuwa wanatafuta attention na views....
Comparison zao ni zs kijinga...hiv unaweza compare Kenya na south kweli?
Hii ni few meters from Nairobi,Tanzania ndo ya kujifunza kwenye barabaraView attachment 2716955
Surely? 😂😂😂😂Hizo nyumba za village pale Bongo hata mjini kuzipata ni mtihani.🤣



Nilishawahi post hapa nyumba za vijijini huko Bukoba zaidi ya 1400km kutoka Dar...Surely?
Wakundustan wenzio wanakiri nyumba na majenzi kiujumla hamtukuti, angalia hii video uone nyumba za vijiji vya Tanzania linganisha na zile shacks zenu za mabati
View attachment 2717022
Wapi hapa?
Bukhungu Stadium in KAKAMEGA still under construction
View attachment 2522519
View attachment 2522520



Wapi hapa?
Nairobi imajaa nyumba za udongo na mabati!Hizo nyumba za village pale Bongo hata mjini kuzipata ni mtihani.🤣