Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ume ignore mandhari ya sehemu zote mbili, upande wa Tanzania ukiwa unapendeza halafu unaanza kuniuliza mambo ya barabara pumbav.
Sasa nyumba moja ya mabati ndio mandhari?

Kama nilivyokueleza, hiyo sehemu ina manufaa zaidi upande wa Tanzania huku upande wa Kenya haina ndio maana hakuna settlement side ya Kenya. Mnajisifia vitu vya ujinga.
 
Sasa nyumba moja ya mabati ndio mandhari?

Kama nilivyokueleza, hiyo sehemu ina manufaa zaidi upande wa Tanzania huku upande wa Kenya haina ndio maana hakuna settlement side ya Kenya. Mnajisifia vitu vya ujinga.


We fwala nini!
Mbona unakwepa swala la miti!
Nani kajadili mambo ya nyumba!

Yaani mimi najadili kuhusu mandhari nzuri ya kuvutia ya miti wewe unalazimisha kuniwekea story za nyumba!
 
Sasa nyumba moja ya mabati ndio mandhari?

Kama nilivyokueleza, hiyo sehemu ina manufaa zaidi upande wa Tanzania huku upande wa Kenya haina ndio maana hakuna settlement side ya Kenya. Mnajisifia vitu vya ujinga.
Nyumba za mabati hubaki Ukunyani! Ile ni nyumba ya matofali with green iron sheets roof! Compare hiyo nyumba na genge lipo Ukunyani!
 
Huwa wanajisahau hawa .. Arusha
michaelsolomonkipuyo-20230531-0001.jpg
FB_IMG_1687938374244.jpg
FB_IMG_1639957543064.jpg
goldcrest_hotel_arusha-20230419-0001.jpg
michaelsolomonkipuyo_1685296867638436.jpg
IMG_7517.jpg
Screenshots_2023-05-28-20-31-32.png
.
 
tanzanians wamechukua hii battle vi serious na makasiriko na matusi 😛mnakosa usingizi mkirushia Kenya matusi
 
Back
Top Bottom