Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiskia mtu akisema eti barabara za Nairobi zina vumbi, muonyeshe Estate za kifahari za Dar. Hii hapa Mbezi eti 🤣

4448854_MTA3OS0xMDgxLThhY2FhYzNmMjctMQ.webp
Sasa nenda ukawaulize WB imekuwaje hapa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20230814-202621~2.png
    Screenshot_20230814-202621~2.png
    37.7 KB · Views: 10
Bagamoyo Road - the main road passing through Mbezi. Kama nikivyosema ukitoa main roads zingine zote vumbi tupu.
Wow .. nilikua nataka uongee hyo statement kwahiyo umekuja kwenye mtego wangu. Barabara za lami mbezi beach ni nyingi tu kando na hiyo Bagamoyo road. 👇
View: https://youtu.be/TIOev2gMV7A. Yani wewe ndio utufundishe sisi mbezi beach inayoishia kuona kwa picha tu.? 😂😂😂
 
Kikwete anajisifia kupewa cheo cha shukrani na masters wake kwa kuirudisha nchi yetu utumwani.
Aliirudishaje utumwani? Ukiwa na jicho linaloona mbali huwezi mdharau JK.Leo hii tunazungumza Kila mkoa unafika kwa lami.Je ni mikoa mingapi ilikuwa na hiyo access 2005 kurudi nyuma.Kulikuwa na chuo kikuu kikubwa kimoja tu TZ Leo ipo na UDOM pia.Leo unazungumzia miji mingi TZ imeboreshwa kwa kujengwa barabara za lami ni mpango ulioanza wakati wake.Mkapa aliisukuma sekta binafsi JK akaikuza.Leo tunazungumza skyscrapers Dar ni wakati wa JK ndipo yalijengwa kutokana kukua kwa real estate iliyokufa wakati wa mjomba lakini sasa inarudi Tena.Kila kiongozi Huwa na mema na mabaya hivyo tuchukue mazuri mabaya tuachane nayo
 
Aliirudishaje utumwani? Ukiwa na jicho linaloona mbali huwezi mdharau JK.Leo hii tunazungumza Kila mkoa unafika kwa lami.Je ni mikoa mingapi ilikuwa na hiyo access 2005 kurudi nyuma.Kulikuwa na chuo kikuu kikubwa kimoja tu TZ Leo ipo na UDOM pia.Leo unazungumzia miji mingi TZ imeboreshwa kwa kujengwa barabara za lami ni mpango ulioanza wakati wake.Mkapa aliisukuma sekta binafsi JK akaikuza.Leo tunazungumza skyscrapers Dar ni wakati wa JK ndipo yalijengwa kutokana kukua kwa real estate iliyokufa wakati wa mjomba lakini sasa inarudi Tena.Kila kiongozi Huwa na mema na mabaya hivyo tuchukue mazuri mabaya tuachane nayo
Watu wa Magufuli wapuuzi sana! Na makesi yote aliyotuingiza kwa kuvunja mikataba kijuha watu wanamsujudu humu!
 
Kikwete kwenye video anajisifia kupewa cheo cha shukrani na masters wake kwa kuirudisha nchi yetu utumwani. Eti "mimi ndiyo mwafrika wa kwanza", akili za kitumwa tumwa hizi.
Moja ya marais wa hovyo. Ni mtu aliyetuletea matatizo makubwa sana nchini.
1. Alitunyima rais bora sana 2005, Dr Salim Ahmed Salim na kundi lake la wahuni la mtandao.
2. Kundi lake la mtandao lilijihusisha na ufisadi mkubwa kama: TICTS bandarini, EPA, ESCROW, RIchmond.
3. Samia ni janga lingine la Kikwete Tanzania, kwakua alikuwa sio chaguo la Magufuli, magufuli alichagua Dr Hussein Myinyi, Kikwete alipeleka jina la Samia kwa magufuli, akaenda nayo mawili kamati kuu na kuingia na ajenda ya gender kumchomeka Samia kama kibaraka wake kwenye serikali ya Magufuli na ndio alikuwa akitoa siri za serikali.
4. Bila kusahaui kundi lake ndio linaongoza chama na serikali: Chongolo, Makamba both mdogo na mkubwa, Kinana, Nape.

Sijawahi msikia akiongea anything intellectual.
 
Aliirudishaje utumwani? Ukiwa na jicho linaloona mbali huwezi mdharau JK.Leo hii tunazungumza Kila mkoa unafika kwa lami.Je ni mikoa mingapi ilikuwa na hiyo access 2005 kurudi nyuma.Kulikuwa na chuo kikuu kikubwa kimoja tu TZ Leo ipo na UDOM pia.Leo unazungumzia miji mingi TZ imeboreshwa kwa kujengwa barabara za lami ni mpango ulioanza wakati wake.Mkapa aliisukuma sekta binafsi JK akaikuza.Leo tunazungumza skyscrapers Dar ni wakati wa JK ndipo yalijengwa kutokana kukua kwa real estate iliyokufa wakati wa mjomba lakini sasa inarudi Tena.Kila kiongozi Huwa na mema na mabaya hivyo tuchukue mazuri mabaya tuachane nayo
Skyscrapers, ni vitu vidogo sana na wala haviakisi maendeleo halisi ya nchi. Hizo barabara JK aliendeleza tuu mikakati iliyoanzishwa na serikali ya Mkapa baada ya Magufuli (akiwa ujenzi), kuja na wazo la kuanzisha mfuko wa barabara (Tanroads), hata hivyo hongera zake (JK) kwa kuiacha mikakati iendelee, angeweza kuivunja.

Utumwa naouongelea ni yeye kutumika na the globalists kuwafanya watanzania wengi masikini, mfano mzuri ni alipotuletea Symbion. Dhumuni la hawa handlers (wanaompa vyeo) ni kuwafanya watanzania wengi masikini kwa kuwaibia pesa zao kupitia capacity charges huku wakitengeneza kikundi kidogo cha matajiri ambao ni rahisi kwao (handlers) kuwamiliki. Unapo waibia wananchi wengi pesa zao, nchi kiujumla inakosa nguvu (biashara, elimu, maendeleo na matumaini yanakufa).

Mfano mwingine wa kitumwa ni hizi sera za tozo ambazo Samia amezitekeleza juzi juzi ili kulipa madeni ya chanjo (chanjo ambazo hata hazikuhitajika), ni JK ndiye anayetuletea haya. Matokeo ya haya matozo ni watanzania wengi wanashindwa kujikwamua kwasababu pesa ndogo wanayopata inaishia kulipia tozo.

Ukiona hawa wa Europa wanakusifu na kukupa vyeo visivyo vya taaluma, jiulize umekosea wapi.
 
Back
Top Bottom