Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Nchi ilipofika ni patamu sana
vitu napenda kimkakati😎
Shehe kalikoroga hamnaa shehe hapa😁😁😁😁 nmesoma kwenye komenti eti ukiskia shehe ubwabwa ndo huyu
Nchi ilipofika ni patamu sana
vitu napenda kimkakati😎
Yaani lazma mjenga suburbs zenu shagalabagala??
Nchi ilikua imezoea mambo ya hovyo ya kuchekacheka na kauli za bajeti finyu.....my foot!Unajua watu wengi hawajaelewa ila alivopigana magu ni vita vya uchumi moja kwa moja ndio maana unaona leo mambo mengine yanakwenda kama kunawa vile kwasababu kuiweka ile misingi na kubadilisha dira ya nchi ilikua sio jambo jepesi kabisa
Nadhani wanaipanua uli iheme vizuri hasa pale East Africa logistic Center na yenyewe ikianza kutema cheche. So Pale ubungo hadi kimara zinapoanzia njia nane kwenda kibaha itakua mwake mwake [emoji41]
Wanashindana na tanzania bado😅😅😅
Huweezi pata kwa vile zetu zina proper dermacations! Na sio poor quality ya Kisumu!Kisumu, Tz nzima nipe mji!! Hata Dar haiwezi pata Street levels kama hizi
View attachment 2673687View attachment 2673688View attachment 2673689
View attachment 2673690View attachment 2673691View attachment 2673692
Hamna,sound tu hiyo imetumika katika hiyo clipMjaluo katembelea mwanza [emoji4]
Mkuu upo "biased" Sana, yule mtoto alipigwa risasi na polisi, hilo lilikua ni kosa na polisi mwenyewe amekamatwa yupo ndani, Sasa hapo haki za binadamu zinakujaje wakati ni kosa la jinai na mtenda kosa amekamatwa?.joto la jiwe haki za binaadamu ziko wapi kaka juzi kapigwa risasi kijana kutoka asia hapo france na dunia imekaa kimya na hakuna media za wazungu zikionesha ila moto umewaka vibaya sana lakini hutaskia mahakama ya ya uhalifu wala haki za binaadamu wa haki za nyoko [emoji28][emoji28]
Ingekua ni africa au adui wao ungeskia dunia nzima imesmama [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Niliwaambia wanioneshe mauzo ya mobius 10 tu toka zimeanza over 8yrs now 😅😅😅 cha ajabu kwenye gari 10 za kenya basi probox ni 9
Kanitafutie slum kahama uje nayo, kisumu haitokaa ifike hizi levelsYaani lazma mjenga suburbs zenu shagalabagala??
Hakuna ata kuuza plots kwa mpangilio ata 20%!!
Hii nchi ni slum tupu.
Wivu chuki na kuwabania Sukuma gang SimonMama Samia kafanya miradi mingi sana sema watu wanachukulia poa maana hawaamini kama atafikia level ya Magu lakini kiukweli kasi tunayoenda nayo ni ile ile au zaidi.
Vita gani acha blaa blaa ,investors wamerudi Kwa sababu ya Imani ya Rais aliyepo,nani alete pesa zake mumpore?Unajua watu wengi hawajaelewa ila alivopigana magu ni vita vya uchumi moja kwa moja ndio maana unaona leo mambo mengine yanakwenda kama kunawa vile kwasababu kuiweka ile misingi na kubadilisha dira ya nchi ilikua sio jambo jepesi kabisa
Actually ukikaa na kuwaza vizuri Dar inahitaji vyote , ndo maana nilitamani BRT iende sambaba na kuweka Njia nane kwenye phase zake ,lakini naona budget imeshindikana .Ni Bora wafikirie kabisa na kuacha reserve ya kutosha kama hela haitoshi sasa .Maana Njia 8 to 10 zinahitajika in 10 to 15 years timeWaendeleze njia nane hadi Posta toka ubungo maana Morogoro road kipande cha ubungo posta ni kero sana pia
Mimi mwenyewe kiukweli simuelewi , na sijui kwanini kapata hyo award , ila Delays nying za ATC zinaletwa na kutokuwa na Ndege za kutosha na kuwa na route nyingi ..Me simuelewi kabisa Matindi, air Tanzania watu wanajiamulia tu mambo na yeye yupo, delays nyingi zinasababishwa na uzembe, eti leo apewe tunzo kwa utumishi upi?
Ww na satelite nani anajua zaidi??😅😅Yaani lazma mjenga suburbs zenu shagalabagala??
Hakuna ata kuuza plots kwa mpangilio ata 20%!!
Hii nchi ni slum tupu.
80 over period of 10years mm sijaanza kuiskia mobius leo wala jana toka niko shule naiskia tu 😅😅😅😅😅😅 nilitegemea angalau uniambia 2000 cars sold nione kweli wamevuta kamba
Demokrasia iliyokomaaWw na satelite nani anajua zaidi??[emoji28][emoji28]
Satelite haioni slum tanzania lakini ww unaona nani mwerevu zaidi??
Dunia nzima inajua kenya ndio kinara wa slums kuna mtu hajui hilo??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]