Niliwaambia wanioneshe mauzo ya mobius 10 tu toka zimeanza over 8yrs now 😅😅😅 cha ajabu kwenye gari 10 za kenya basi probox ni 9Oooo mara mobius! Mara fyoko! Kiko wapi sasa! Hao mobius wanakufa sasa!
Sama zina sura nzuri...badi tu nyang'au hizi ni hovyoView attachment 2674247
Mashabiki wa Gor Mahia wafunga mitaa ya Nairobi
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu, hilo limethibitishwa na Lissu na Rostam.Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,JPM alikua president mwenye uzalendo usiopimika
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Homabay ni village sio town 😅😅😅😅For village football, this Stadium is very fulfilling.
View attachment 2674409View attachment 2674410
Waambie wakuoneshe street level kama hzi kenya nzima na wakikuomesha tu nitag 😅😅Mwanza iko moto
Kaka Magu ni hatari sana usimchukulie kikawaida kawaida, hivi ninavyokuambia mm ni mfuasi wa mwalimu Nyerere yani nilizaliwa tu nampenda huyo mzee kabla sijamfuatilia, baada ya kumfuatilia ndio nikampenda zaidi, ila Magu ni hatari sana mkuu, ile ilikuwa computer sio mtu wa kawaida yule niMama Samia kafanya miradi mingi sana sema watu wanachukulia poa maana hawaamini kama atafikia level ya Magu lakini kiukweli kasi tunayoenda nayo ni ile ile au zaidi.

Ilikua ni lazma apambane kwasababu mfumo ulimtaka afanye hvo kwa vile miradi mikubwa ilikua ishaanza ambayo itahitaji na miradi endelevu vile vile mfano SGR na BRT ni lazma iendelee kwasababu ilishaendelezwa na miradi mingine hvohvoKapambana sana ,kumbuka miradi ya JPM bado kadhaa haijakamilika,anapambana na Yake na alioanzisha
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unajua watu wengi hawajaelewa ila alivopigana magu ni vita vya uchumi moja kwa moja ndio maana unaona leo mambo mengine yanakwenda kama kunawa vile kwasababu kuiweka ile misingi na kubadilisha dira ya nchi ilikua sio jambo jepesi kabisaKaka Magu ni hatari sana usimchukulie kikawaida kawaida, hivi ninavyokuambia mm ni mfuasi wa mwalimu Nyerere yani nilizaliwa tu nampenda huyo mzee kabla sijamfuatilia, baada ya kumfuatilia ndio nikampenda zaidi, ila Magu ni hatari sana mkuu, ile ilikuwa computer sio mtu wa kawaida yule ni![]()
Hakuna fidia, sidhani. Watu walishalipwa zamani sana kama sikosei.Pale kuna mitaro ya kuziba pale na lazima kuna fidia za kulipa
alliens...Kaka Magu ni hatari sana usimchukulie kikawaida kawaida, hivi ninavyokuambia mm ni mfuasi wa mwalimu Nyerere yani nilizaliwa tu nampenda huyo mzee kabla sijamfuatilia, baada ya kumfuatilia ndio nikampenda zaidi, ila Magu ni hatari sana mkuu, ile ilikuwa computer sio mtu wa kawaida yule ni![]()
Huyu mzee Mwenyezi Mungu amuweke pema peponi, kuna watu hasa wapigaji walikuwa wanampinga sana ila sisi wafuasi wake ambao kipindi hicho tulikuwa ndiyo kwanza tunatoka chuo na hali ilikuwa mbaya sana lkn kwa maslahi ya taifa tukakubali mana Magu aligoma kabisa kuajiri ila sikuwahi kumkataa kabisa mana alikuwa anafanya mambo muhimu kuliko mm kupata ajira, tutamkumbuka sana miaka nenda rudi.Unajua watu wengi hawajaelewa ila alivopigana magu ni vita vya uchumi moja kwa moja ndio maana unaona leo mambo mengine yanakwenda kama kunawa vile kwasababu kuiweka ile misingi na kubadilisha dira ya nchi ilikua sio jambo jepesi kabisa
Me simuelewi kabisa Matindi, air Tanzania watu wanajiamulia tu mambo na yeye yupo, delays nyingi zinasababishwa na uzembe, eti leo apewe tunzo kwa utumishi upi?
Yeah amepita juzi pale kazini.Naona mwinyi yupo china kuna mambo yanakuja hasa kwenye uwekezaji